Sio shabiki saana wa huu ushenzi wa big brother ila kwa hizi tetesi ninazosikia kuwa hemed atakuwa muwakilishi wenu Big brother........mmekwisha.....
bwahahahaha......kupitia wizara husika....kuna jambo linalosemwa na serikali yenu likawa serious?Siku hizi hakuna 'mwakilishi' wa Tanzania Big Brother, Serikali kupitia wizara husika ilishasema.....siku hizi kuna 'mshiriki' wa Big Brotherm toka Tanzania. Kama PhD atakuwa amechaguliwa atakuwa mshiriki, na sio mwakilishi!
bwahahahaha......kupitia wizara husika....kuna jambo linalosemwa na serikali yenu likawa serious?
tumekwisha kama ni kweli
kwanza ataongea lugha gani
ndani ya nyumba?
Samahani wakuu huyo Hemed ndio nani? au anajishughurisha na mambo gani? simfahamu mtu huyu.
shiit!! ndio maana simfahamu, mimi hizo anga Bongo Movie nawajuwa wasanii wasiozidi 4. otherwise mimi ni mpenzi zaidi wa kina Mzee Mjuto, Mwita Maranya, Onyango, Jangala, small n:k, lakini sio hawa wanaotaka kutengeneza Filamu na magari ya kifahari ya kuazima halafu baadae mnagongana kwenye msosi wa buku mbili!!Ni mmojawapo wa washiriki ktk Bongo Movies mbalimbali.....Pia huwa anaimba-imba na kufanya featuring ktk baadhi ya nyimbo za wenzake...Wanaomkubali huwa wanaamini kwamba ni yanki anayependa na kuwatenda Mademu...Lakini upande mwingine wa Shilingi huwa unamlaumu sana Ahmed Shabiby (sio Merrey Balhabou ) kwamba anakaharibu haka ka-kijana.
shiit!! ndio maana simfahamu, mimi hizo anga Bongo Movie nawajuwa wasanii wasiozidi 4. otherwise mimi ni mpenzi zaidi wa kina Mzee Mjuto, Mwita Maranya, Onyango, Jangala, small n:k, lakini sio hawa wanaotaka kutengeneza Filamu na magari ya kifahari ya kuazima halafu baadae mnagongana kwenye msosi wa buku mbili!!
shiit!! ndio maana simfahamu, mimi hizo anga Bongo Movie nawajuwa wasanii wasiozidi 4. otherwise mimi ni mpenzi zaidi wa kina Mzee Mjuto, Mwita Maranya, Onyango, Jangala, small n:k, lakini sio hawa wanaotaka kutengeneza Filamu na magari ya kifahari ya kuazima halafu baadae mnagongana kwenye msosi wa buku mbili!!
Samahani wakuu huyo Hemed ndio nani? au anajishughurisha na mambo gani? simfahamu mtu huyu.