+255
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 1,940
- 762
out of 40 million people,kwani nini tupeleke hilo bwabwa???kwani watu wamekosekana?
Kwani yeye sio mtu!! Hao waliopelekwa miaka ya nyuma wanatofauti gani na Hemed!?
out of 40 million people,kwani nini tupeleke hilo bwabwa???kwani watu wamekosekana?
Umemaliza wangu!!!huyo jestina kama ni demu kweli atakuwa ana maradhi ya kunuka kwapa kwahiyo ana allergy na watanashati na waliobarikiwa muonekano na kipaji!!!Kwani yeye sio mtu!! Hao waliopelekwa miaka ya nyuma wanatofauti gani na Hemed!?
Hebu fafanua anamharibu vipi ?Ni mmojawapo wa washiriki ktk Bongo Movies mbalimbali.....Pia huwa anaimba-imba na kufanya featuring ktk baadhi ya nyimbo za wenzake...Wanaomkubali huwa wanaamini kwamba ni yanki anayependa na kuwatenda Mademu...Lakini upande mwingine wa Shilingi huwa unamlaumu sana Ahmed Shabiby (sio Merrey Balhabou ) kwamba anakaharibu haka ka-kijana.
Cdhani kama wanaweza kumteua mtu bogus kama yule.