bushland
JF-Expert Member
- Mar 6, 2015
- 7,015
- 4,997
Naiomba tafadhaliMimi tv yangu toka 2015 kipindi cha kampeni sijawahi kuiwasha tena.
Naiomba tafadhaliMimi tv yangu toka 2015 kipindi cha kampeni sijawahi kuiwasha tena.
Duh![]()
MKUU,
ONDOA POVU LAKO LA SABUNI YA MAGADI HAPA!
ILE ND'O PERCULIARITY YAKE,
NA BILA HIYO USINGEWEZA KUMTOFAUTISHA NA WENGINE!
BICHWA HILO!
![]()
![]()
![]()
Tbway, mahela kivuyo na kapiga mimi wananikera sana, ndio maana siku hizi nachek azam TV tu, watangazaji wako serious kweli yaniujue kutofautisha unatuletea na anakuletea
kama wewe humpendi nenda ITV mikocheni kuna sanduku la maoni
vitu vingine sio mpaka upost vile umehamisha chaneli nyingine inatosha
kama Kivuyo anakuboa basi hata list itakuwa inakuboa pia
hawa wote wana mbwembwe katika utangazaji wao je washawahi kukuboa
Dokta Panjuan
Salim Kikeke
Harris Kapiga
Tbway360
Sam Mahela
Mauleed Kitenge
mcheza kwao hutunzwa
unajua maana ya uniqueness?
Am among fan wakeMkuu yuko anatangaza kwa miaka kadhaa sa iv hii inamaaniaha yuko na fan base yake...Sio lazima wote tuwe mashabiki wake...
Kusoma kasoma mwenyewe,kutangaza kaamua mwenyewe ko tusimpangieSAUTI NI YAKE
ANAITUMIA ANAVYOJUA YEYE
HALAZIMISHWI NA MTU
NA ALIPO AMUA KUTANGAZA HAKUSHAURIWA NA MTU.
note that.
Jamaa anajua sana tuache kizabi zabina
SAUTI NI YAKE
ANAITUMIA ANAVYOJUA YEYE
HALAZIMISHWI NA MTU
NA ALIPO AMUA KUTANGAZA HAKUSHAURIWA NA MTU.
note that.
We jamaa bhanaAcha ushamba kuna habari gani ambazo huzipati kwenye social media mpaka usubiri taarifa ya habari saa 2 usiku au na wewe umekuwa mtoto? badilika broo.

Sasa mimi ndio napenda hayo madoido yake sio wengine wanaboa, Taarifa za Michezo kama taarifa ya habari?!? Hapana inabidi ziwe na mbwembwe. Ho Kivuyo go!Mimi binafsi huyu mtangazaji wa habari za michezo ananikera utangazaji wake! kiasi kwamba akianza kutangaza tu nahamisha stesheni, kwani hizo mbwembwe zote zina umuhimu gani,
Unaleta madoido ya kizamani, mbona ukifanya mazungumzo ya kawaida sauti yako ni ya kawaida hadi unapotangaza ndo unatuletea mbwembwe! Acha hizo ni ushamba tu huo kama hujui, au unataka umaarufu?
Aisee huyu jamaa sipendagi anavyovuta hayo matamshi ila basi tu.Georgeeeeeee maratoooooooo Itv Maraaaaaaaaaaaaaaaa.
Watakukera sana na karibia wote wana madoido wakati wa kuripoti.