sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,988
- 4,152
Mimi binafsi huyu mtangazaji wa habari za michezo ananikera utangazaji wake! kiasi kwamba akianza kutangaza tu nahamisha stesheni, kwani hizo mbwembwe zote zina umuhimu gani,
Unaleta madoido ya kizamani, mbona ukifanya mazungumzo ya kawaida sauti yako ni ya kawaida hadi unapotangaza ndo unatuletea mbwembwe! Acha hizo ni ushamba tu huo kama hujui, au unataka umaarufu?
Unaleta madoido ya kizamani, mbona ukifanya mazungumzo ya kawaida sauti yako ni ya kawaida hadi unapotangaza ndo unatuletea mbwembwe! Acha hizo ni ushamba tu huo kama hujui, au unataka umaarufu?