Hemed Kivuyo wa ITV acha ushamba

sinajinasasa

JF-Expert Member
Dec 10, 2013
2,988
4,152
Mimi binafsi huyu mtangazaji wa habari za michezo ananikera utangazaji wake! kiasi kwamba akianza kutangaza tu nahamisha stesheni, kwani hizo mbwembwe zote zina umuhimu gani,

Unaleta madoido ya kizamani, mbona ukifanya mazungumzo ya kawaida sauti yako ni ya kawaida hadi unapotangaza ndo unatuletea mbwembwe! Acha hizo ni ushamba tu huo kama hujui, au unataka umaarufu?
 
Mimi binafsi huyu mtangazaji wa habari za michezo ananikera utangazaji wake! kiasi kwamba akianza kutangaza tu nahamisha stesheni, kwani hizo mbwembwe zote zina umuhimu gani, unaleta madoido ya kizamani, mbona ukifanya mazungumzo ya kawaida sauti yako ni ya kawaida hadi unapotangaza ndo unatuletea mbwembwe! Acha hizo ni ushamba tu huo kama hujui, au unataka umaarufu?
Yan huu wivu aisee... Bro.. Wacha Wivu.. Watu na Passion za Kazi zao.. We kama huependi kazi yako kavunje mawe aisee..
 
Mimi binafsi huyu mtangazaji wa habari za michezo ananikera utangazaji wake! kiasi kwamba akianza kutangaza tu nahamisha stesheni, kwani hizo mbwembwe zote zina umuhimu gani, unaleta madoido ya kizamani, mbona ukifanya mazungumzo ya kawaida sauti yako ni ya kawaida hadi unapotangaza ndo unatuletea mbwembwe! Acha hizo ni ushamba tu huo kama hujui, au unataka umaarufu?

Me mwenyewe ananikera aisee,,,ni mpuuzi
 
Yaani siku asipotangaza mi huwa sivutiwi kabisa na habari za michezo!

Acha ushamba wewe ile kitaalamu tunaita branding......ukisikia sauti tu unajua huyo ni hemed kivuyo

Au yule wa bukoba Geoooooorge marato wa itviiiiii
 
Back
Top Bottom