Hembu Tujikumbushe!

Ndallo

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
7,619
4,292
210bm6s.gif

Je wewe ulikuwepo enzi hizi?
 
Ukweli nimepata, niliyoyasikia sikudanganywa oooh.
Kumbe huko Gabon umeshaolewa na mtu mwingine.

Nasema nasikitika kwani ulichokifanya ni cha dhuluma ooh,

Wazimu si wazimu huku nimebaki nalia moyoni.

Sasa ufanye hima uwatumie barua wazazi wako oooh,

Warudishe mahari yangu ili niweze tafuta mchumba mwingine.

.....Nawaarifu ndugu zangu wote,

.....Harusi hii imevunjika jama


.....Niliyetaka kumuoa,
.....Amenikatalia bila kosa mwenzenu
 
ndallo una vituko wewe huu mtindo ulikua unaitwa kucheza robot ambapo baadae ulifuatiwa na mtindo ulioitwa mabreka mtu unajinyonganyonga hv kama yule jamaa wa kwa boney M
210bm6s.gif

Je wewe ulikuwepo enzi hizi?
 
Ukweli nimepata, niliyoyasikia sikudanganywa oooh.
Kumbe huko Gabon umeshaolewa na mtu mwingine.

Nasema nasikitika kwani ulichokifanya ni cha dhuluma ooh,

Wazimu si wazimu huku nimebaki nalia moyoni.

Sasa ufanye hima uwatumie barua wazazi wako oooh,

Warudishe mahari yangu ili niweze tafuta mchumba mwingine.

.....Nawaarifu ndugu zangu wote,

.....Harusi hii imevunjika jama


.....Niliyetaka kumuoa,
.....Amenikatalia bila kosa mwenzenu

PJ hembu nikumbushe huu wimbo uliimbwa na bendi gani kaka? kwakua umenikuna sana maneno yake!
 
Back
Top Bottom