Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Pole PJ. RIP BABA WA PJ!.
Ni tukio kubwa, hutokea mara moja kwa watu unaowapenda na halina uzoefu.Wakuu,
IAM SHOCKED!
HARDEST TIME ON EARTH FOR ME!
Nimepata habari sasa hv nikiwa ofisini, babaangu mzazi amefariki huko Dar hosptal ya Amana.
Niko KWENYE MIPANGO YA SAFARI KUJA DAR, mIpango ya mazishi inafayika KITUNDA, then safari kwenda kwetu Mbeya!
This is jst for info!
Kama ni kweli pole sana.
"Mimi ndimi huo ufufuo na uzima, yeye aniaminie mimi ajapokufa atakuwa anaishi" Yoh. 11:25
PJ - huu ni msiba mzito na mkubwa sana, namuomba Roho Mtakatifu akupe nguvu na faraja katika kipindi hiki kigumu. Na Mungu wa amani yote ailaze roho ya Marehemu mzazi wako Mahala pema peponi... Amen
Wana JF, nimefurahishwa na solidarity ya members wote... ingawa wengine hatuwezi kushiriki kimwili lakini rambi rambi tunaweza kutoa ili iweze kusaidia katika msiba. Tafadhali tufahamisheni rambi rambi zetu tuwasilishe wapi. Msiba una mahitaji makubwa sana, tungependa kusaidia
Respect
pamoja hommie!....Geoff, nashukuru sana kwa kunistua through sms, maake nilikuwa busy na safari sikuingia hapa mahali tangia asubuhi........! ubarikiwe sana kwa moyo huo!
PJ,
Najaribu kukumbuka moyo wako ulionyesha wakati ule wa msiba wa babu yake na member mwenzetu SIPO, kwa akili yangu ya kibinadamu sidhani kama u deserved this man! Naona kabisa JF tunawajibika kwa moyo mmoja kama ulionyesha kwa SIPO kukusupport kwa mwili na roho, kwa sala na maombi katika kipindi hiki kigumu sana kwako......! Nimejaribu kukupigia wewe binafsi sijakupata, lakini takupigia tu nikupe pole kwa sauti......! nimeguswa sana na msiba huo!
I know as family, you have lost a lovely father and please note that, there in no way to escape such a DIVINE gift from God. We loved him, but God has loved him the most. Yeye katangulia, sisi nasi tutakinywa kikombe hicho. Jina la bwana lihimidiwe......!
Rest in Peace mzee wetu......!