Kuhusu maandalizi ya maziko:-
Maandalizi ya kusafirisha mwili wa marehemu yanafanyika nyumbani kwa Mhandisi Protas Mwasyoke, Ukonga Kipunguni.
1. Iwapo una gari binafsi unafuata njia ya kwenda Gongo la mboto, kabla hujafika Ukonga Magereza unakata kushoto eneo linalojulikana kama Banana. Unafuata njia ya lami (ni kama km 2.5 kutoka Banana) hadi kituo cha Matembele. Ukiuliza Mr. Mwasyoke hapohapo Matembele watakuonesha nyumbani kwake, ama ukipiga namba za simu hapa chini utaelekezwa.
2. Iwapo unapanda daladala, unapanda zile za kwenda Gongolamboto, unashuka Banana. Pale unapanda daladala za kwenda Kitunda, unashuka Matembele. Hapo Matembele ukiuliza kwa Mr. Mwasyoke basi utaelekezwa au unaweza kupiga namba za simu zilizooneshwa hapo chini.
Mawasiliano:
0784 374 166
0754 829 855
0755 235 323
0713 329 635
Asanteni
Idimi