msnajo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 3,066
- 1,142
Majanga haya ngoja ampelekee kidumu akusaidie
Aaaaah... ! Mbona umemwambia tena?! Mwache aone mziki wake. Analeta usista do kwenye ndoa? Kama mumewe anabanwa na kz, ni sahihi kufanya hayo. Ila kwa upande mwingine isiwe kila siku. Jamaa akienda kuoga si afue kufuli mwenyewe?