Help: I cant wash his underwear

Help: I cant wash his underwear

Pole sana. Ni lini wanaume tutaacha kuwafanya wake zetu watumwa?? Ni furaha iliyoje kumwona mke wako anachoka sana tena wakati mwingine akiwa mjamzito? Wewe unafurahije kukaa juu ya sofa unaangalia Tv na kusoma magazeti ili hali mkeo anateseka na kazi. Halafu usiku au mchana huo huo unamataka kitandani akutimizie ndoa!!! Je na kuchoka huko unategemea ufanisi? Usipopata ufanisi unatafuta nyumba ndogo au kuja kurusha matatizo yako ya ndani JF!!! Wewe ndiyo chanzo. Kuna wakati miaka hiyo rafiki yangu alikuwa anamwachia mke wake kila kazi ili hali watoto walikuwa ni wadogo na waliofuatana sana. Mke alikuwa anachoka sana na ugomvi kila usiku maana mgongo unauma. Siku moja nikawakaribisha nyumbani makusudi kabisa. Nami nilikuwa na watoto almost same age kama yeye. Niliwaalika kuanzia lunch hadi dinner, it was our day. Nakumbuka walifika kama saa nne hivi maana walikuwa wanatokea mbali na usafiri walikuwa hawana (ngumu kupata magari enzi zile japo JABA ilikuwa kusaidia kidogo -tumetoka mbali sana). Alipofika tukawalaki na nikaanza kuwaandalia chai huku mwenzangu akiwa busy na kulisha watoto (tulikuwa tumetoka ibada). Walipomaliza kupata kifungua kinywa basi nikaondoa vyombo na kuweka meza vizuri (binti wa kazi alikuwa amekwenda ibada na tulikuwa tunasubiri dada yangu afike kutusaidia kupika kwa ajili ya ugeni ule). Rafiki yangu yule aninikodolea macho sana. Baadaye watoto wakawa wanacheza na wale wa kwake nikawaaga kuwa ngoja nimpe mama support kidogo. Nikaingia jikoni tukaanza kukata nyama na kuanza mapishi na dada yangu akawasili tukaendelea kusaidia kazi za mapishi. Tulikula na tulipomaliza nikajiunga nao wakati dada na binti wa kazi anaendelea na kazi za usafi baada ya kula.
Baadaye jioni wakati tunawasindikiza akaniambia kuwa atanipigia kesho yake kuna issue (hakukuwa na mobile alitumia ttcl ofisini). Ainipigia kunishangaa ila nikamwambia mke ni msaidizi na mwanaume maana yake ndiye mtendaji mkuu. Kuanzia siku ile alibadilika na mkewe alipata ahueni na mapenzi makubwa katika familia. Mke ni msaidizi wako na si mtumwa au mtwana. Hakuna cha limbwata bali ni upendo na wadogo zangu wote wa kiume niliwaonyesha njia and are happily married.
 
Mimi thijaelewa hicho kidhungu jamani.
Mama thi ungeandika kithwahili?
 
Wakati mwingine naona wanawake wako kama watumwa vile... dume lifanyiwe kila kitu, kila kitu...
umpikie, umfulie, umpasie nguo, umuandalie ipi avae, soksi na boksa ziwe safi, utandike kitanda na bado kila iitwapo usiku ulale bila pichu...
mwisho wa mwezi mnagawana majukumu 50/50...
Its not fair kwa wanawake, lol.

vikizidi ndio kero lakini vitu vingine waweza vifanya kwa mapenzi tu. kuna mambo mengine sio kwamba mwanamke anamfanyia mwanaume bali anafanya kwa ajili yao wote, mfano.. chakula nitachopika sio nimempikia bali nimepika ili tule. kwa tunaopenda wanaume zetu waende smart kwa ofisi lazma tuhakikishe wamevaa nguo safi na zilizopigwa pasi.
 
hao ndo mabinti wa dotcom nadhani hata wazazi wake wamemfundisha hivyohivyo
 
Aisee tunapoelekeaaa heee!!!!!basi oaa kama hutaki kuolewaa siku ukiletewaa mke mdogo nadhan utafurahii basi na k usimpe maana we utakua mtumwaa
 
Jiandae kwa kichapo cha kuumizwa mtu
Halaf urudishwe kwenu ukafunzwe namna ya kumhudumia mumeo.

Au endelea na tabia hio hakika nakiambia mumeo lazima atafute mpango wa kando
 
Jiandae kwa kichapo cha kuumizwa mtu
Halaf urudishwe kwenu ukafunzwe namna ya kumhudumia mumeo.

Au endelea na tabia hio hakika nakiambia mumeo lazima atafute mpango wa kando
 
Pole sana. Ni lini wanaume tutaacha kuwafanya wake zetu watumwa?? Ni furaha iliyoje kumwona mke wako anachoka sana tena wakati mwingine akiwa mjamzito? Wewe unafurahije kukaa juu ya sofa unaangalia Tv na kusoma magazeti ili hali mkeo anateseka na kazi. Halafu usiku au mchana huo huo unamataka kitandani akutimizie ndoa!!! Je na kuchoka huko unategemea ufanisi? Usipopata ufanisi unatafuta nyumba ndogo au kuja kurusha matatizo yako ya ndani JF!!! Wewe ndiyo chanzo. Kuna wakati miaka hiyo rafiki yangu alikuwa anamwachia mke wake kila kazi ili hali watoto walikuwa ni wadogo na waliofuatana sana. Mke alikuwa anachoka sana na ugomvi kila usiku maana mgongo unauma. Siku moja nikawakaribisha nyumbani makusudi kabisa. Nami nilikuwa na watoto almost same age kama yeye. Niliwaalika kuanzia lunch hadi dinner, it was our day. Nakumbuka walifika kama saa nne hivi maana walikuwa wanatokea mbali na usafiri walikuwa hawana (ngumu kupata magari enzi zile japo JABA ilikuwa kusaidia kidogo -tumetoka mbali sana). Alipofika tukawalaki na nikaanza kuwaandalia chai huku mwenzangu akiwa busy na kulisha watoto (tulikuwa tumetoka ibada). Walipomaliza kupata kifungua kinywa basi nikaondoa vyombo na kuweka meza vizuri (binti wa kazi alikuwa amekwenda ibada na tulikuwa tunasubiri dada yangu afike kutusaidia kupika kwa ajili ya ugeni ule). Rafiki yangu yule aninikodolea macho sana. Baadaye watoto wakawa wanacheza na wale wa kwake nikawaaga kuwa ngoja nimpe mama support kidogo. Nikaingia jikoni tukaanza kukata nyama na kuanza mapishi na dada yangu akawasili tukaendelea kusaidia kazi za mapishi. Tulikula na tulipomaliza nikajiunga nao wakati dada na binti wa kazi anaendelea na kazi za usafi baada ya kula.
Baadaye jioni wakati tunawasindikiza akaniambia kuwa atanipigia kesho yake kuna issue (hakukuwa na mobile alitumia ttcl ofisini). Ainipigia kunishangaa ila nikamwambia mke ni msaidizi na mwanaume maana yake ndiye mtendaji mkuu. Kuanzia siku ile alibadilika na mkewe alipata ahueni na mapenzi makubwa katika familia. Mke ni msaidizi wako na si mtumwa au mtwana. Hakuna cha limbwata bali ni upendo na wadogo zangu wote wa kiume niliwaonyesha njia and are happily married.
Nimependa sana, natamani siku moja wangu naye awe kama hivyo.
 
Kata rufaa kwa Mwenyezi Mungu kukuumba mwanamke. otherwise acha ulimbukeni utabakia kuwa mwanamke tu na huduma kwa mume utaendelea kutoa tu. kama huwezi basi chagua kuwa Nungayembe though kuna muda itakulazimu kumtafuta mwanamume wa kukushughulikia!!!!!!!!!!!!!
 
Kwani huwa humwiti Baby....!! he is ur Baby... sasa kwanini unashindwa kumfulia..! lakini boxer.. mmh! mumeo mvivu.
 
According to African's culture,washng and ironing clothes of your husbnd,kitchen activities,cleaning of the house are the duties of a complete wife,other wise he decide himself to do dat., so please mama! If you real love him, Do dat for your benef,otherwise ua going to loose your hubby. Take care
 
Nimependa sana, natamani siku moja wangu naye awe kama hivyo.

Amini itakuwa hivyo, kwa imani yako mwombe sana Mungu maana wanaume wanajiona kumsaidia mke ni kujishusha. Nakataa hili. Mbona baba yangu alikuwa anamsaidia sana mama tena kijijini? Tulizaliwa tumefuatana sana, mama akijifungua baba alikuwa anampikia chakula na kufua kabisa nguo zake. Waliishi kwa upendo sana na hakika wanasema mleee mtoto njia ipasayo na hataisahau hata uzee wake!!! Rest in Peace Baba.. You showed us the way. Mama is proud of us, hajapokea kesi za kijinga za ndoa zilizoshindikana.
 
According to African's culture,washng and ironing clothes of your husbnd,kitchen activities,cleaning of the house are the duties of a complete wife,other wise he decide himself to do dat., so please mama! If you real love him, Do dat for your benef,otherwise ua going to loose your hubby. Take care

Wakati wakiwa housewives???!!!! Na sasa majukumu mnatoka wote asubuhi na foleni hasa Dar es Salaam anafika saa nne usiku basi aendelee kuwa punda wa kazi tu???? Acheni hizo na ndoa zenu kila siku zinavunjika!!!! Dunia kwa sasa imebadilika, mke na mume are bread earners!!! Sasa hapo kila kitu 50% -50%??? Mbona katika mshahara wake uko mstari wa mbele kumwambia tuchange nunu kwa nusu??? Na majukumu fanyeni nusu kwa nusu. Kama mke ni mama wa nyumbani kuna tofauti kidogo kwa kuwa anabaki nyumbani anaweza kujipanga na kumwandalia mume.
 
Back
Top Bottom