Inategemea ntu na ntu
Nawasikitikia wale wasio oa, tuna mtoto anaingia form II mwingine la sita na mwingine wa mwisho la pili. Kweli ni raha tupu. Kama hukumwomba Mungu wakati wa kuoa hapo utapata taabu. Lakini ukifuata masharti mbona raha? usiku tunauona mfupi kuliko mchana kwani tunapendana, ninamsuka mke wangu kabkla ya kulala kusudi nyere zake zisimsumbue wakati wa kujiandaa kwenda kazini. We acha tu!utadhani nimemuoa jana!!
Nawasikitikia wale wasio oa, tuna mtoto anaingia form II mwingine la sita na mwingine wa mwisho la pili. Kweli ni raha tupu. Kama hukumwomba Mungu wakati wa kuoa hapo utapata taabu. Lakini ukifuata masharti mbona raha? usiku tunauona mfupi kuliko mchana kwani tunapendana, ninamsuka mke wangu kabkla ya kulala kusudi nyere zake zisimsumbue wakati wa kujiandaa kwenda kazini. We acha tu!utadhani nimemuoa jana!!