- Thread starter
- #141
KongoAlienda nchi gani mara ya mwisho?
KongoAlienda nchi gani mara ya mwisho?
Aya sawa sawa 🤣🤣🤣🤣Ndiyo
Sasa jina na kuwa baba wapi na wapi mbona hampendi tusitiri binadamu wenzetu 😂😂😂Mmmmmmh wewe uwe baba 🤣🤣🤣 jinantu Harmful kifimbo chezaaa🤪🤪🤣🤣🤣🤣
Karibu binti yetu, mimi ni mshauri wa kiroho na kiongozi wa maombi na dua kwenye hili jukwaa.Mimi ni mgeni naomba mnipokee pia naomba support yenu

😂😂😂😂😂😂Hahaha eti pretty 🤣🤣🤣 aya bhana
Hahaha ni sawa na mimi leo nijiite toxic alafu nianze kufundisha upishi watu hawataniaminiSasa jina na kuwa baba wapi na wapi mbona hampendi tusitiri binadamu wenzetu 😂😂😂
Kirohooo wa wapi wewe bibi umetoka kwenye uzi wako kule wa mambo ya MIGUNO🤣🤣🤣🤣🤣Karibu binti yetu, mimi ni mshauri wa kiroho na kiongozi wa maombi na dua kwenye hili jukwaa.
kila ijumaa saa 11 jioni huwa naendesha dua za kuombea mahusiano na kuhamasisha furaha kwenye maisha
Karibu sana 🤗
Kumbe Lucas kaja kivingine Jf haitabiriki😅😅😅😅Hahaha eti pretty 🤣🤣🤣 aya bhana
We ndio unataka nisiaminiwe ila angalia mtoto aliye tumboni huoni kama atakuwa mpweke bila baba 😅😅😅Hahaha ni sawa na mimi leo nijiite toxic alafu nianze kufundisha upishi watu hawataniamini
Hahahah famasiala(FANYA MASIALA) nini!!!!Kumbe Lucas kaja kivingine Jf haitabiriki😅😅😅😅
We ndio unataka nisiaminiwe ila angalia mtoto aliye tumboni huoni kama atakuwa mpweke bila baba 😅😅😅
Anamuda gani tangu aende? Kama haijazidi mwezi mmoja kuwa na subira, maana gari za mizigo mara nyingi zikienda Congo zinachelewa kurudi , wanaowahi kurudi ni wa tank za mafuta ndani ya siku 14 anaweza kugeukaKongo
🙌
Karibu sana, jisikie huru, chumba changu ndiyo hiki ukijisikia muda wowote kuniuliza chochote kuhusu hapa usisite kuja, karibu sana, mimi wanapenda kuniita "Kiko".Naomba mnipokee
Toa vituMimi ni mgeni naomba mnipokee pia naomba support yenu
Hilo jina lako linasomekaje mkuuKaribu sana, jisikie huru, chumba changu ndiyo hiki ukijisikia muda wowote kuniuliza chochote kuhusu hapa usisite kuja, karibu sana, mimi wanapenda kuniita "Kiko".
Na wewe unajikuta mwenyeji hahahahToa vitu
Acha udodoma
Hataki usimlazimishe, wacha iendelee kubeba matumaini yako, lakini yeye hatakiKijana CCM ndo imebeba matumaini ya watanzania wote ukiwemo wewe. Unakosea sana kuikataa
Hataki usimlazimishe, wacha iendelee kubeba matumaini yako, lakini yeye hataki