Fantastic boy
Member
- May 10, 2022
- 15
- 15
Jina langu naitwa Elikana Nikodemo Elikana, Kiukweli nafarijika sana napokuwa humu japo nilikuwa bado sijajiunga rasmi ila sasa nashukuru tupo pamoja...!! Ahsanteni sanaaaa
Pia binafsi ningependa kuomba ushauri..!!
Pia binafsi ningependa kuomba ushauri..!!
- Mimi ni kijana ninayeamini sana kupitia sanaa itanifikisha katika malengo na itanikwamua kiuchumi...!! Ndoto yangu ni kuwa mtangazaji mkubwa wa radio pamoja na runinga..!!
- Elimu yangu mwisho kidato cha nne nilipata four ya 31 yenye D mbili tuu English and swahili
- Nilijaribu kazi mbalimbali ili kujipatia kipapto nikasome ila nilikwama pia support sikuipata kutoka kaa wazazi wangu!! Nimefanya sanaa ya uigizaji, Nimefanya sanaa ya Muziki mpaka muda huu nafanya SIMULIZI za sauti na pia fact mbalimbali za sauti ila bado ndoho yangu ni kuwa mtangazaji..!!