Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
INFLATION RISES TO 12.3% IN NOVEMBER-Daily News(18/12/2008)
Wajameni hela ya Tanzania yaanza kurudi kwenye madafu.Exhange rate ya sik za karibuni zinaonyesha kuwa dola moja sasa inauzwa kwa Tshs zaidi ya 1300/=.
Wachumi na wazalendo mliobobea katika mambo ya fedha, kunani na hali inaelekea wapi?
Jambo dhahiri linalotokea sasa ni kuwa imports zote zitakuwa ghali kulinganisha na miezi sita iliyopita.
Wajameni hela ya Tanzania yaanza kurudi kwenye madafu.Exhange rate ya sik za karibuni zinaonyesha kuwa dola moja sasa inauzwa kwa Tshs zaidi ya 1300/=.
Wachumi na wazalendo mliobobea katika mambo ya fedha, kunani na hali inaelekea wapi?
Jambo dhahiri linalotokea sasa ni kuwa imports zote zitakuwa ghali kulinganisha na miezi sita iliyopita.