Mkuu huwa wanapeleka wapi za kwako hizo?Baba anapokea 500,000, Mama anapokea 1,000,000. kwa ujumla familia ina 500,000... hii hesabu ni rahis sana kuielewa mkuu..
Nakaziahela ya mwanamke ni ngum kama hakupendi, yawezekana upo na mtu asiekupenda bt hujajua tu.
Nakubaliana naweee hamna hela rahisi jombaaSio hela ya mwanamke tuu jombii,hakuna hela rahisi dunia hii...
Ila usizidishe ushkaji sana kwenye hela ya dem ako bhanaaaNakubaliana naweee hamna hela rahisi jombaa
Sema Jamaa labda ni dem wake, kuna dem unadate naye mnakua km washikaj yaaan
Anapeleka kwao huyo alafu mwisho wa siku wazazi wanasema "Ukizaa mtoto wa kike anakumbuka sana wazazi wake kuliko wa kiume"Mimi za kwangu nikiwa nazo anatumia vizuri tu lakini za kwake kuzipata labda umulike na tochi hata mchana,sijui wakoje
Kwa wazazi waoMkuu huwa wanapeleka wapi za kwako hizo?
Ndio maana hakutakuwaga ana usawa hata wanawake wafanye vikao 1,000 huko BeijingKwahiyo unalilia pesa ya mwanamke?
Achana nayo fanya Mambo mengine
Kusaidiana ni muhimu sana mkuu. Unakaaje na mwanamke mwaka mzima hata vest au boxer moja hajawahi kukununulia?Mkuu mwanamke acha afanye mambo yake usiumize kichwa timiza majukumu yako.
Anapenda tu hela zako. Ila wanawake wengine wanatoka familia zenye shida hawa sina tatizo nao.hela ya mwanamke ni ngum kama hakupendi, yawezekana upo na mtu asiekupenda bt hujajua tu.