dimatteo
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 868
- 931
Wanawake wengi ni wabinafsi sanaaa na hii ni kwa bongo/ TAnzania na sidhani kwa wenzetu weupe wapo hivi
Nakumbuka juzi juzi Hapa baada ya kukaa muda mrefu bila kuwa na kazi maalumu, Sasa nikabahatika kupata kazi mbili
But ilihitaji kiasi flani cha pesa na sikuwa nacho, nikapambana sana sikufanikiwa, nikaona ngoja ni mjuze mwanzangu huyu
Sasa basi nikamweleza bwana neema imenitembelea, ila nilikuwa naomba unitaftie sehemu nipate ela kwa riba nafuu ili nijiandae kwa ajili ya kazi au ukikosa unaweza nikopesha kwa riba hata wew(NB: yeye ni mtabibu wa ngazi shahada katika hospital kubwa hapa TZ)
Nilichojibiwa kiukweli sikuwahi kutegemea wala kudhani kuwa ndo yeye ananijibu hivi??
Alinijibu "yeye pesa zake hazikopeshwagi" na akaendelea kusema inabidi ujiandae kabla hujafanya jambo
Niliumia ila nilijikaza, nikajisemea ila hii kazi kwani nilitarajia kupataaa? Mpaka nijiandae...daaah nikapiga moyo na nikavunjika moyo saaana..... nikajisemea huwenda hafurahishwi na Mimi kupiga hatua au tayari akufukuzae hakwambii tokaa???
Inshort sikutegemea yaliyotokea, from that day nilimtoa kichwan na moyoni.....
NB: wakati yeye anaomba kazi nilikuwa nae bega kwa bega mpaka siku anareport anaanza kazi
Nakumbuka juzi juzi Hapa baada ya kukaa muda mrefu bila kuwa na kazi maalumu, Sasa nikabahatika kupata kazi mbili
But ilihitaji kiasi flani cha pesa na sikuwa nacho, nikapambana sana sikufanikiwa, nikaona ngoja ni mjuze mwanzangu huyu
Sasa basi nikamweleza bwana neema imenitembelea, ila nilikuwa naomba unitaftie sehemu nipate ela kwa riba nafuu ili nijiandae kwa ajili ya kazi au ukikosa unaweza nikopesha kwa riba hata wew(NB: yeye ni mtabibu wa ngazi shahada katika hospital kubwa hapa TZ)
Nilichojibiwa kiukweli sikuwahi kutegemea wala kudhani kuwa ndo yeye ananijibu hivi??
Alinijibu "yeye pesa zake hazikopeshwagi" na akaendelea kusema inabidi ujiandae kabla hujafanya jambo
Niliumia ila nilijikaza, nikajisemea ila hii kazi kwani nilitarajia kupataaa? Mpaka nijiandae...daaah nikapiga moyo na nikavunjika moyo saaana..... nikajisemea huwenda hafurahishwi na Mimi kupiga hatua au tayari akufukuzae hakwambii tokaa???
Inshort sikutegemea yaliyotokea, from that day nilimtoa kichwan na moyoni.....
NB: wakati yeye anaomba kazi nilikuwa nae bega kwa bega mpaka siku anareport anaanza kazi