Hela ya field itatoka lini?

Hela ya field itatoka lini?

Tuvumilie hela zitatoka tu kabla ya mwezi sept. Tupige kazi kwanza hela baadae
 
Usivuke Mipaka dogo unaweza kudhibitsha unachokisema? Unajua tayar upo kwenye mashtaka ya kupanga tukio la kijasusi watch out maneno hayo naweza kukubadilikia dk mbili hz unadhan upo rum mwenyewe...
acha mkwara uchwara wewe unamjua machumu ulishalala nyambizi boys au unanibipu msalimie gadafi kama uko kwenye chombo mkuda ww
 
Serikali haina hela vijana mbona mnakuwa vichwa ngumu? Uhakiki gani unafanyika miezi miwili?? Waliohakikiwa siwangeshapewa pesa zao? Na jee swala lakusema watawapa nusu nusu kama sio ukata nini chaajabu hawatoi sababu zakueleweka kwannn wawape pesa nusu nusu. Grow up guys ubahili ni sifa ya umasikini
 
Naamini serikali yetu ni makini sana mda si mrefu tutafurahia. Tahliso niliskia kupitia taarifa yao kwamba hela zitatumwa vyuoni siku ya juzi na Jana ivo kesho au wiki ijayo tunaweza Cheka.
 
Zikiwa tayari tamko litatolewa kwenye mkutano wa hadhara ili watu washangilie
 
Poleni sana ndugu zangu,hali ni tete maana wenzenu uku kazini tunakaguliwa kila siku na juzi tu tumetakiwa kujaza form na kivuli cha kadi ya bank unayopitishia mshahara ilimradi tafrani wanatafuta kila sababu ivyo kuweni wavumilivu hakuna alieko kivulini kwa sasa zaidi ya walioko juu tulieni kwa mbinde ivyo ivyo mtalipwa tu.
 
Pesa ya fld cc sua tayaari
 

Attachments

  • Screenshot_2016-08-12-14-46-36.png
    Screenshot_2016-08-12-14-46-36.png
    17.2 KB · Views: 29
mkuu wa SUA hela umeambiwa ziko kwenye process bado hazijafika kwa wanafunzi kutokana na barua uliyotuma wilsonilanga
 
1471009311014.jpg

Hawa ndo majembe sasa, no money no field, sio vyuo vyetu vya kisiasa tunaambiwa eti tutangulie hela iko kwenye process.
 
Home of VIPANGA wameshaingiziwa pesa tayari...
So kuweni na SUBIRA vijana...
Muda si mrefu na nyie wa vyuo vilivyosalia mambo yatakua MAZURI..!
 
Home of VIPANGA wameshaingiziwa pesa tayari...
So kuweni na SUBIRA vijana...
Muda si mrefu na nyie wa vyuo vilivyosalia mambo yatakua MAZURI..!
acha uongo mkuu, mi Niko udsm ad sasa hatujapewa hela.
 
Back
Top Bottom