mo effect
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 567
- 637
Subirini mpaka uhamisho wa kwenda dodoma ukamilike, serikali iko bize saivi shida yenu si unga na mboga..! agizeni majumbani kwenu.Hivi hizi hela za field zitatoka lini ? Mwanzoni tuliahidiwa kuwa jumanne ya wiki hii zitatoka ila hazikutoka na siku za field ndio hivyo zinazidi kupita.Serikali ilitangaza kusogezwa mbele field mpaka 8/8/2016 ila hiyo tarehe ishapita na bado hakijaeleweka.
Wakuu mwenye updates za hela hizi za field atujulishe hapa.