Heko dada zangu wa kikurya

Heko dada zangu wa kikurya

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,932
Reaction score
11,863
Mkiolewa mnatulia sana kwenye ndoa zenu mnajituma sana kufanya kazi na kutunza familia na wala sio wavivu kama wahaya ambao wakiolewa kutwa hushinda vibarazani wakijiremba na kujichubua.
Dada zangu kwenye ndoa ni wavumilivu sana hamna longo longo na mna malezi mazuri hata kwa watoto wenu hakika nyie ni mfano wa wanawake wa kiafrika mlio funzwa mkafunzika.
 
wakati mwngine mnaleta hoja ambazo kila mtu mwenye average mind anashndwa kujua unatumia vigezo gani kuarrive to conclusion!, znazoogozwa na hisia binafsi. Sasa we unataka kusema hakuna mwanamke wa kikurya mwenye tabia ovu kwenye ndoa yake? Au kusema wake wote wa kihaya wana tabia sawa. Kuweni Objective kwenye mada zenu acha subjectivity
 
Too much generalization; halafu umewaandama wahaya Sana mkuu
 
wakati mwngine mnaleta hoja ambazo kila mtu mwenye average mind anashndwa kujua unatumia vigezo gani kuarrive to conclusion!, znazoogozwa na hisia binafsi. Sasa we unataka kusema hakuna mwanamke wa kikurya mwenye tabia ovu kwenye ndoa yake? Au kusema wake wote wa kihaya wana tabia sawa. Kuweni Objective kwenye mada zenu acha subjectivity

Ni kweli mkuu ila kumbuka mmekata antena za dada zenu wakati wahaya zo zinashika mawimbi kama kawa!
 
Kwa hiyo umeachana na mhaya upo na mkurya!!!!??
 
Human behaviours are different..

No one is 100% calm and obeys everything...

Hivi hamjamsikia yule mwanamke mwanasheria aliyemchoma pasi housegal wake?
 
Mkiolewa mnatulia sana kwenye ndoa zenu mnajituma sana kufanya kazi na kutunza familia na wala sio wavivu kama wahaya ambao wakiolewa kutwa hushinda vibarazani wakijiremba na kujichubua.
Dada zangu kwenye ndoa ni wavumilivu sana hamna longo longo na mna malezi mazuri hata kwa watoto wenu hakika nyie ni mfano wa wanawake wa kiafrika mlio funzwa mkafunzika.

Cha ajabu wanasifiwa na kufanya yote hayo ila domestic violence iko juu sana huko kwao. I feel sorry for them. Mungu awaepushe na jehanamu maana washaipata duniani!
 
wakati mwngine mnaleta hoja ambazo kila mtu mwenye average mind anashndwa kujua unatumia vigezo gani kuarrive to conclusion!, znazoogozwa na hisia binafsi. Sasa we unataka kusema hakuna mwanamke wa kikurya mwenye tabia ovu kwenye ndoa yake? Au kusema wake wote wa kihaya wana tabia sawa. Kuweni Objective kwenye mada zenu acha subjectivity

Kweli mkuu kilambalambila; ninadhani uwezo wa kufikiri wa huyu mleta uzi ni mdogo sana. JF inazidi kupoteza umaarufu kutokana na kujaa kwa watu wenye hoja dhaifu kama akina Molembe!
 
Last edited by a moderator:
kaka mi s mhaya ila naomba kukuuliza
1.wamekukosea nini wahaya?
2.wamekutenda?
3.umalaya si wa kwao unakuthiri nini?
4.TZ kuna makabila 120 plus unguja na pemba si uende huko kungine....!
Waacheni na umalaya wao jamani hao wahaya nyie mnaokatana masikio,pua midomo kisa ndoa mbona hamsemwi.
Nyie wakurya si ndo wanawake wanaoana mnaita nyumba ntobhu asa si usagaji wa kimila huo!
 
Dada zako ni wakali, ni wakatili, hawana lugha ya kunyenyekea wao ni kukomand tu
na mwisho kabisa hawana hisia visimi vimekatwa
acha fix Molembe
 
Last edited by a moderator:
Mwanamke wa kihaya hata nipewe bure na zawadi ya nyumba na kiwanja sichukui.
 
mnatoa povu wakati hamjui hao ni watani?poleni
 
mleta mada hii mada yako imesabisha dada zako wachambuliwe kama karanga. Umedhan unawatetea kumbe ni kinyume wakikuona utapigwa mawe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom