Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,896
- 155,936
- Thread starter
- #21
ABUNUASI NA KISA CHA MLIO WA PUNDA
JIRANI yake abunuasi alikua anataka punda kwa ajil ya kusafirisha mizigo yake,akamwendeaabunuasi akamwabia jiran naomba niazimishe punda wako,abunuas akamjibu mimi sina punda, jamaa akafadhaika sana akawa anatoka lkn kabla ajakwenda mbali akamsikia punda akilia toka kwa abunuasi akarudi haraka akamwambia abunuasi umesema huna punda lkn nimeskia mlio wake,abunuasi akamjibu kwan unataka punda au mlio? Akimaanisha yeye ana mlio tuu lkn hana punda.
JIRANI yake abunuasi alikua anataka punda kwa ajil ya kusafirisha mizigo yake,akamwendeaabunuasi akamwabia jiran naomba niazimishe punda wako,abunuas akamjibu mimi sina punda, jamaa akafadhaika sana akawa anatoka lkn kabla ajakwenda mbali akamsikia punda akilia toka kwa abunuasi akarudi haraka akamwambia abunuasi umesema huna punda lkn nimeskia mlio wake,abunuasi akamjibu kwan unataka punda au mlio? Akimaanisha yeye ana mlio tuu lkn hana punda.