Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,224
mi siangaliii kidato kwa kweli, napenda mwanaume msafi na anayemthamini mwanamke(that is enough for me), ikitokea anangawira poa, asipokuwa nazo pia poa coz im so independent.sijali kama ana uume mkubwa au mdogo as long as will love each other(true love and faithful).
hahaaaa,basi humu duniani mko watatu