:A S 112: kwa vigezo vyenu hivyo ndo maana WADADA WENGI "WAMEDODA" MITAANI! cha msingi ni kuwa mtu ni muelewa, na ana mapenzi ya dhati!Hivi jamani, elimu sio kigezo cha kuangalia unapotaka kuingia kwenye mahusiano ya kudumu (ndoa).
Mdada unaweza kuolewa na mwanaume ambae hajaenda shule kabisa au ameishia shule ya msingi?
:A S 112: kwa vigezo vyenu hivyo ndo maana WADADA WENGI "WAMEDODA" MITAANI! cha msingi ni kuwa mtu ni muelewa, na ana mapenzi ya dhati!
tatizo ni pale "UNAPO FALL IN LUV" wapaswa " ku ENTER IN LUV" Pia kama ulitanguliza kash lazima ukubali!:rain:Kuna kufol in lov wanasema hata kama ni mpiga debe hajasoma anaweza akazmikiwa na demu msomi na mwenye shule.
Wanawake wengi hawaangalii shule wanaangalia sana sana ngawira ie men unapomtongoza dem hakuuliz una mastaz, phd, diplona, certficate au degree! Weng utasikia una gari gani, una nyumba wap, unafanya kaz gani/wap au unabiashara gani
kwa mtazamo wangu elimu kwa weng siyo muhmu kama cash
MIMI NI MWANAUME YAMENIKUTA NA DEMU AKISHAANZA KUULIZIA CASH NAMPIGA CHINI FASTA!
Inawezekana sana tu Hus!Swala ni maelewano na uwezo wa kufikiri kuendana tu!Kuna watu wamesoma ila kuelewana nao ni ngumu balaa,na uwezo wao wa kufikiri hauendani na elimu waliyo nayo ila unakuta mtu wa std 7 au form 4 yuko juu zaidi!Besides kwasababu mtu hajasoma haina maana hana akili...unaweza kuta hakua na uwezo wa kuendelea tu ila ni kichwa sana!
mi siangaliii kidato kwa kweli, napenda mwanaume msafi na anayemthamini mwanamke(that is enough for me), ikitokea anangawira poa, asipokuwa nazo pia poa coz im so independent.sijali kama ana uume mkubwa au mdogo as long as will love each other(true love and faithful).
Kwa wadada wetu inawezekana kinadharia zaidi, sio kivitendo
Hivi jamani, elimu sio kigezo cha kuangalia unapotaka kuingia kwenye mahusiano ya kudumu (ndoa).
Mdada unaweza kuolewa na mwanaume ambae hajaenda shule kabisa au ameishia shule ya msingi?
Hivi jamani, elimu sio kigezo cha kuangalia unapotaka kuingia kwenye mahusiano ya kudumu (ndoa).
Mdada unaweza kuolewa na mwanaume ambae hajaenda shule kabisa au ameishia shule ya msingi?