Ukiachana na "golddiggers" kuna aina ya wanawake ambao mimi nawaita "marriage-diggers"

Balqior

JF-Expert Member
Jun 8, 2021
1,709
5,697
Habarini,

"Marriage-diggers" ni aina flani ya wanawake ambao maamuzi yao ya kuingia kwenye mahusiano na mwanaume yako dictated na umri wao.

Unaweza kuta mdada mzuri tu kimuonekano, ana miaka 28,29, au 30 yupo single hana mtoto, halafu anakushobokea kiaina, unamtongoza anakubali kirahisi, ukichunguza vizuri unagundua kuwa amekukubalia kwasababu anaona umri unamtupa, ila angekuwa na miaka 18-21 asingekukubalia wala kujua kama mtu kama wewe una exist.

Scenario ingine unakuta mdada alikukataa kipindi ni binti wa miaka 21, miaka 8 baadae anarudi kwako kwa Kasi ya ajabu, kama vile sahivi umekuwa brad pitt.

Hao wadada unakuta kwenye prime age Yao 18-25 wame-ride the cock carousel weeee, wakagundua wanaume wanaowapenda ambao ni ma-handsome wanawala tu halafu wanasepa, bila kuweka kambi, umri unaenda ikifika miaka 28 kengele inalia kichwani mwao, so wanakua wanatafuta mwanaume ambae ana mwonekano tu wa kawaida (the so called good men), mwenye kipato, ambae anaweza kuwa a responsible baba wa familia, wanaume ambao huenda ni wewe msoma hii mada.

Ukiwaoa wanawake wa aina hii tegemea mawili, kama wana roho nzuri, na wewe mwanaume unajielewa, ndoa yenu itadumu mpaka kifo kiwatenganishe, vinginevyoooo jiandae na kitu kizito huku mbeleni...

Alamsiki
 
Unaoa mwanamke ambaye ameshatumika, kuna watu wamemla bure miaka na miaka. Kwa kifupi ni malaya

Ulivyo mjinga unafanya na sherehe kabisa ya harusi ukumbini ukila, kunywa, ukicheza na kumtambulisha malaya kwa wazazi, ndugu, jamaa na marafiki uliowaalika ukumbini

Ulivyo mjinga kabla ya kuteketeza mamilioni ukumbini ulimlipia mahari kubwa na wazazi wake wakakukabidhi malaya? Kweli hii ni akili au matope?

Kabla ya harusi unamnunulia malaya wedding gown, viatu na gharama ya salon apendeze siku ya harusi. Wewe ni mwanamume mjinga

Unapanga mipango ya harusi na kuwachangisha wadau ili uoe mwanamke ambaye bado kuna watu wanamla free kabla ya ndoa na baada ya ndoa wataendelea kummega kisela

Kuna ile mibwege siku ya engagement inawavalisha pete wanawake used na kama haitoshi wanampigia magoti malaya na kusema "please with this ring my love I'm giving you my heart." Kweli malaya wa kumpigia magoti?

Kama umemkuta ameshatumika kwa nini upoteze mamilioni kwa ajili yake? Hebu wanaume tushtuke

Iko hivi nyie mliooa kwa gharama huyo mwanamke ulijisumbua na kupoteza pesa zako bure

Huyo mkeo ni malaya she's cheap ndio maana amelala na wanaume wengine bure au kwa gharama ndogo kabla yako na wahuni hawakutoa hayo mamilioni, tena wamemmega kwenye nyumba za wageni za kawaida sana

Wewe kwa ujinga na kiherehere chako eti umeenda kulipia honeymoon kwenye hotel kubwa. Una akili kweli?

If she slept with other men for free should be offered for free
 
Unaoa mwanamke ambaye ameshatumika, kuna watu wamemla bure miaka na miaka. Kwa kifupi ni malaya

Ulivyo mjinga unafanya na sherehe kabisa ya harusi ukumbini ukila, kunywa, ukicheza na kumtambulisha malaya kwa wazazi, ndugu, jamaa na marafiki uliowaalika ukumbini

Ulivyo mjinga kabla ya kuteketeza mamilioni ukumbini ulimlipia mahari kubwa na wazazi wake wakakukabidhi malaya? Kweli hii ni akili au matope?

Kabla ya harusi unamnunulia malaya wedding gown, viatu na gharama ya salon apendeze siku ya harusi. Wewe ni mwanamume mjinga

Unapanga mipango ya harusi na kuwachangisha wadau ili uoe mwanamke ambaye bado kuna watu wanamla free kabla ya ndoa na baada ya ndoa wataendelea kummega kisela

Kuna ile mibwege siku ya engagement inawavalisha pete wanawake used na kama haitoshi wanampigia magoti malaya na kusema "please with this ring my love I'm giving you my heart." Kweli malaya wa kumpigia magoti?

Kama umemkuta ameshatumika kwa nini upoteze mamilioni kwa ajili yake? Hebu wanaume tushtuke

Iko hivi nyie mliooa kwa gharama huyo mwanamke ulijisumbua na kupoteza pesa zako bure

Huyo mkeo ni malaya she's cheap ndio maana amelala na wanaume wengine bure au kwa gharama ndogo kabla yako na wahuni hawakutoa hayo mamilioni, tena wamemmega kwenye nyumba za wageni za kawaida sana

Wewe kwa ujinga na kiherehere chako eti umeenda kulipia honeymoon kwenye hotel kubwa. Una akili kweli?

If she slept with other men for free should be offered for free
Sasa tuoe wanawake wenye miaka mingapi, maana hata huyo mwenye miaka 29 alietumika na wanaume wengi, kuna kipindi na yeye pia alikuwa na miaka 20 jay-millions
 
Habarini,

"Marriage-diggers" ni aina flani ya wanawake ambao maamuzi yao ya kuingia kwenye mahusiano na mwanaume yako dictated na umri wao.

Unaweza kuta mdada mzuri tu kimuonekano, ana miaka 28,29, au 30 yupo single hana mtoto, halafu anakushobokea kiaina, unamtongoza anakubali kirahisi, ukichunguza vizuri unagundua kuwa amekukubalia kwasababu anaona umri unamtupa, ila angekuwa na miaka 18-21 asingekukubalia wala kujua kama mtu kama wewe una exist.

Scenario ingine unakuta mdada alikukataa kipindi ni binti wa miaka 21, miaka 8 baadae anarudi kwako kwa Kasi ya ajabu, kama vile sahivi umekuwa brad pitt.

Hao wadada unakuta kwenye prime age Yao 18-25 wame-ride the cock carousel weeee, wakagundua wanaume wanaowapenda ambao ni ma-handsome wanawala tu halafu wanasepa, bila kuweka kambi, umri unaenda ikifika miaka 28 kengele inalia kichwani mwao, so wanakua wanatafuta mwanaume ambae ana mwonekano tu wa kawaida (the so called good men), mwenye kipato, ambae anaweza kuwa a responsible baba wa familia, wanaume ambao huenda ni wewe msoma hii mada.

Ukiwaoa wanawake wa aina hii tegemea mawili, kama wana roho nzuri, na wewe mwanaume unajielewa, ndoa yenu itadumu mpaka kifo kiwatenganishe, vinginevyoooo jiandae na kitu kizito huku mbeleni...

Alamsiki
Legendary 🏆
 
Unaoa mwanamke ambaye ameshatumika, kuna watu wamemla bure miaka na miaka. Kwa kifupi ni malaya

Ulivyo mjinga unafanya na sherehe kabisa ya harusi ukumbini ukila, kunywa, ukicheza na kumtambulisha malaya kwa wazazi, ndugu, jamaa na marafiki uliowaalika ukumbini

Ulivyo mjinga kabla ya kuteketeza mamilioni ukumbini ulimlipia mahari kubwa na wazazi wake wakakukabidhi malaya? Kweli hii ni akili au matope?

Kabla ya harusi unamnunulia malaya wedding gown, viatu na gharama ya salon apendeze siku ya harusi. Wewe ni mwanamume mjinga

Unapanga mipango ya harusi na kuwachangisha wadau ili uoe mwanamke ambaye bado kuna watu wanamla free kabla ya ndoa na baada ya ndoa wataendelea kummega kisela

Kuna ile mibwege siku ya engagement inawavalisha pete wanawake used na kama haitoshi wanampigia magoti malaya na kusema "please with this ring my love I'm giving you my heart." Kweli malaya wa kumpigia magoti?

Kama umemkuta ameshatumika kwa nini upoteze mamilioni kwa ajili yake? Hebu wanaume tushtuke

Iko hivi nyie mliooa kwa gharama huyo mwanamke ulijisumbua na kupoteza pesa zako bure

Huyo mkeo ni malaya she's cheap ndio maana amelala na wanaume wengine bure au kwa gharama ndogo kabla yako na wahuni hawakutoa hayo mamilioni, tena wamemmega kwenye nyumba za wageni za kawaida sana

Wewe kwa ujinga na kiherehere chako eti umeenda kulipia honeymoon kwenye hotel kubwa. Una akili kweli?

If she slept with other men for free should be offered for free
Mwanangu umeandika kwa uchungu sana, jikaze wanaume tumeumbiwa shida
 
Mwanangu umeandika kwa uchungu sana, jikaze wanaume tumeumbiwa shida
Screenshot_2022-02-19-12-37-54-95.jpg
 
Ni kweli, ila ndio nmejua leo, na ambae hajiuzi ila anapenda kupigwa pigwa ovyo na kila mwanaume ,anaitwaje?

sababu za mwanamke kushindwa kuzuia mashambulizi tatizo sio yeye, tatizo ni washambuliaji. Wamejipanga, matokeo yake beki zinazidiwa...mara nyavu zinatikiswa
 
sababu za mwanamke kushindwa kuzuia mashambulizi tatizo sio yeye, tatizo ni washambuliaji. Wamejipanga, matokeo yake beki zinazidiwa...mara nyavu zinatikiswa
Kwa hiyo unataka kusema washambuliaji, wana ujuzi wa hali ya juu kuliko makipa au nao makipa wanapenda kuuza tu mechi?
 
Habarini,

"Marriage-diggers" ni aina flani ya wanawake ambao maamuzi yao ya kuingia kwenye mahusiano na mwanaume yako dictated na umri wao.

Unaweza kuta mdada mzuri tu kimuonekano, ana miaka 28,29, au 30 yupo single hana mtoto, halafu anakushobokea kiaina, unamtongoza anakubali kirahisi, ukichunguza vizuri unagundua kuwa amekukubalia kwasababu anaona umri unamtupa, ila angekuwa na miaka 18-21 asingekukubalia wala kujua kama mtu kama wewe una exist.

Scenario ingine unakuta mdada alikukataa kipindi ni binti wa miaka 21, miaka 8 baadae anarudi kwako kwa Kasi ya ajabu, kama vile sahivi umekuwa brad pitt.

Hao wadada unakuta kwenye prime age Yao 18-25 wame-ride the cock carousel weeee, wakagundua wanaume wanaowapenda ambao ni ma-handsome wanawala tu halafu wanasepa, bila kuweka kambi, umri unaenda ikifika miaka 28 kengele inalia kichwani mwao, so wanakua wanatafuta mwanaume ambae ana mwonekano tu wa kawaida (the so called good men), mwenye kipato, ambae anaweza kuwa a responsible baba wa familia, wanaume ambao huenda ni wewe msoma hii mada.

Ukiwaoa wanawake wa aina hii tegemea mawili, kama wana roho nzuri, na wewe mwanaume unajielewa, ndoa yenu itadumu mpaka kifo kiwatenganishe, vinginevyoooo jiandae na kitu kizito huku mbeleni...

Alamsiki
Uko sahihi kabisa mwamba, kwenye hio age category kuna single mothers wengi kinoma noma
 
Back
Top Bottom