guzman_
JF-Expert Member
- Jan 27, 2016
- 1,255
- 2,073
Nawasalimu wana Jamvi!
Hivi karibuni miaka kama 5/6 nyuma kumetokea wimbi kubwa la wanawake kutafuta wanaume wa kuwaoa. Ukipita kila mahali kwenye social media unaweza shuhudia hilo. Na kwa kiasi kikubwa ni single mothers na hata mabinti wadogo waliosingle 20's.
Hii imkaaje! Au ni normal duniani kote.
Nawasilisha.
Hivi karibuni miaka kama 5/6 nyuma kumetokea wimbi kubwa la wanawake kutafuta wanaume wa kuwaoa. Ukipita kila mahali kwenye social media unaweza shuhudia hilo. Na kwa kiasi kikubwa ni single mothers na hata mabinti wadogo waliosingle 20's.
Hii imkaaje! Au ni normal duniani kote.
Nawasilisha.