Hebu tuongeeni ukweli

Hebu tuongeeni ukweli

Ni hivi wadau jamii forum asilimia yao kubwa sio matapeli ila ni waongo or hawana muda.
Halafu wewe unaweka maanani kuwa mtakuwa pamoja au ni wafuture .
Sijui kwa wengine.
Ila nasema ukweli kuwa humu hakuna mtu ambaye yupo serious .
Sana sana mahusiano .
Humu nikuwachora wengine na kuwapotezea muda kabisa.
Halafu humu wengi hawana pesa .
Humu ndani wengi wao wanajiona wapo juu uhalisia hawapo juu wala kawaida sana.
Namalofa wapo wengii tu.
Ndio maaana ukisema ukweli wanakuita malaya .
Humu wapo kila aina ya watu ambao hawapo serious nani waongo sana
Umeingia tena ovulation?
 
Ni hivi wadau jamii forum asilimia yao kubwa sio matapeli ila ni waongo or hawana muda.
Halafu wewe unaweka maanani kuwa mtakuwa pamoja au ni wafuture .
Sijui kwa wengine.
Ila nasema ukweli kuwa humu hakuna mtu ambaye yupo serious .
Sana sana mahusiano .
Humu nikuwachora wengine na kuwapotezea muda kabisa.
Halafu humu wengi hawana pesa .
Humu ndani wengi wao wanajiona wapo juu uhalisia hawapo juu wala kawaida sana.
Namalofa wapo wengii tu.
Ndio maaana ukisema ukweli wanakuita malaya .
Humu wapo kila aina ya watu ambao hawapo serious nani waongo sana
we si ulinikataa mimi, au kwa sababu uliona nina sura mbaya!

tatizo nyinyi wanawake mnataka at the same time mwanaume awe handsome, pesa, tall, future oriented and all positive traits.....

sisi sura nzito ila mengine tupo vzuri hamtutaki
 
Pole sana...

Tatizo binadamu ni wabishi sana...

Wakikuita Malaya nawe waoneshe umalaya wako ulivyo... live your life to the maximum...


Cc: mahondaw
 
Ni hivi wadau jamii forum asilimia yao kubwa sio matapeli ila ni waongo or hawana muda.
Halafu wewe unaweka maanani kuwa mtakuwa pamoja au ni wafuture .
Sijui kwa wengine.
Ila nasema ukweli kuwa humu hakuna mtu ambaye yupo serious .
Sana sana mahusiano .
Humu nikuwachora wengine na kuwapotezea muda kabisa.
Halafu humu wengi hawana pesa .
Humu ndani wengi wao wanajiona wapo juu uhalisia hawapo juu wala kawaida sana.
Namalofa wapo wengii tu.
Ndio maaana ukisema ukweli wanakuita malaya .
Humu wapo kila aina ya watu ambao hawapo serious nani waongo sana
pumba.
 
unajiita katoto kazuri wakati una sura kama mzee wasira
 
we si ulinikataa mimi, au kwa sababu uliona nina sura mbaya!

tatizo nyinyi wanawake mnataka at the same time mwanaume awe handsome, pesa, tall, future oriented and all positive traits.....

sisi sura nzito ila mengine tupo vzuri hamtutaki
Huo ni uongo
 
Back
Top Bottom