Ukweli usemwe watu wanaumizwa mno

Ukweli usemwe watu wanaumizwa mno

Marry Diana

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
1,418
Reaction score
4,113
Shikamoon wakubwa

Jamani,nimejaribu kuwaza kitu kwanini wanaume wengi hasa humu mtandaoni wa gubu sana na wanawaza ngono tu?

Kwa mfano ni juzi tu hapa nimepost mada ili kusaidiana Mawazo kuhusu maisha,kumbukeni nivyohitaji Mawazo humu si kwamba hizo aidia Mimi sina,Bali ni kwamba najaribu kuwianisha na kimsingi wapo wachache ambao nimechukua ushauri wao kama ulivyo na nitaufanyiq kazi.

Ila wengine sasaaaa,

Mara oooh huyu anajiuza,anatafuta bwana,mara anatafuta mume,halafu ina maana mtaani wanaume hamna Hadi mtu aje mtandaoni,Kwa wanaume gani sasa,

Yaani mwanaume anayeshinda mtandaoni masaa kibao huyu atakuwa mume wa nani.

Yaani Maria Mimi nitafute mwanaume mtandaoni, sikilizeni Mimi kama nilivyopost picha yangu mtandaoni ndivyo nilivyo,si wa kishua nimezaliwa kwenye family ya kawaida,hakuna mwanaume hawezi kuwa na Mimi sasa jidanganyeni na kujipa matumaini hewa nawezaje kujibu DM ya mtu wa jamiiforum,nawezaje kutoka na wanaume surambaya na mbovu wa humu ,wengi nimekutana nao wabayaaa mxieeew
 
Changamoto Moja kubwa ni watu kuchukuliwa Mitandao kama sehemu fulan hivi ya ujinga ujinga.

Kuna watu wamejiua sababu walipopost habari zao Mitandao kwa Lengo la kutafuta ushauri, watu waliwadhihaki, kuwatukaña na kejele mbalimbali.


Kama Kila mmoja ataichukulia Mitandao kwa uzito na chanya, Kila mmoja Angelina Thaman ya Maisha yake.
 
Shikamoon wakubwa

Jamani,nimejaribu kuwaza kitu kwanini wanaume wengi hasa humu mtandaoni wa gubu sana na wanawaza ngono tu?

Kwa mfano ni juzi tu hapa nimepost mada ili kusaidiana Mawazo kuhusu maisha,kumbukeni nivyohitaji Mawazo humu si kwamba hizo aidia Mimi sina,Bali ni kwamba najaribu kuwianisha na kimsingi wapo wachache ambao nimechukua ushauri wao kama ulivyo na nitaufanyiq kazi.

Ila wengine sasaaaa,

Mara oooh huyu anajiuza,anatafuta bwana,mara anatafuta mume,halafu ina maana mtaani wanaume hamna Hadi mtu aje mtandaoni,Kwa wanaume gani sasa,

Yaani mwanaume anayeshinda mtandaoni masaa kibao huyu atakuwa mume wa nani.

Yaani Maria Mimi nitafute mwanaume mtandaoni, sikilizeni Mimi kama nilivyopost picha yangu mtandaoni ndivyo nilivyo,si wa kishua nimezaliwa kwenye family ya kawaida,hakuna mwanaume hawezi kuwa na Mimi sasa jidanganyeni na kujipa matumaini hewa nawezaje kujibu DM ya mtu wa jamiiforum,nawezaje kutoka na wanaume surambaya na mbovu wa humu ,wengi nimekutana nao wabayaaa mxieeew
acha kumkosoa Bwana Mungu! Mungu wetu ajaumba kiumbe mbaya! Je wewe una kiumbe kizuri ulichoumba hadi unakosoa uumbaji wa Mungu? omba toba kwa Mungu wako,umekengeuka! Amen.
 
Shikamoon wakubwa

Jamani,nimejaribu kuwaza kitu kwanini wanaume wengi hasa humu mtandaoni wa gubu sana na wanawaza ngono tu?

Kwa mfano ni juzi tu hapa nimepost mada ili kusaidiana Mawazo kuhusu maisha,kumbukeni nivyohitaji Mawazo humu si kwamba hizo aidia Mimi sina,Bali ni kwamba najaribu kuwianisha na kimsingi wapo wachache ambao nimechukua ushauri wao kama ulivyo na nitaufanyiq kazi.

Ila wengine sasaaaa,

Mara oooh huyu anajiuza,anatafuta bwana,mara anatafuta mume,halafu ina maana mtaani wanaume hamna Hadi mtu aje mtandaoni,Kwa wanaume gani sasa,

Yaani mwanaume anayeshinda mtandaoni masaa kibao huyu atakuwa mume wa nani.

Yaani Maria Mimi nitafute mwanaume mtandaoni, sikilizeni Mimi kama nilivyopost picha yangu mtandaoni ndivyo nilivyo,si wa kishua nimezaliwa kwenye family ya kawaida,hakuna mwanaume hawezi kuwa na Mimi sasa jidanganyeni na kujipa matumaini hewa nawezaje kujibu DM ya mtu wa jamiiforum,nawezaje kutoka na wanaume surambaya na mbovu wa humu ,wengi nimekutana nao wabayaaa mxieeew
marry, hebu jaribu wakati mwingine kutengeneza urafiki na sisi wazee wa busara ambao hatuna gubu humu jukwaani, wala kuwaza ngono muda wote. Vijana wa hovyo kama Holoholo-Baba Kijacho na wenzake ndiyo wana matatizo makubwa uliyoyataja.
 
Shikamoon wakubwa

Jamani,nimejaribu kuwaza kitu kwanini wanaume wengi hasa humu mtandaoni wa gubu sana na wanawaza ngono tu?

Kwa mfano ni juzi tu hapa nimepost mada ili kusaidiana Mawazo kuhusu maisha,kumbukeni nivyohitaji Mawazo humu si kwamba hizo aidia Mimi sina,Bali ni kwamba najaribu kuwianisha na kimsingi wapo wachache ambao nimechukua ushauri wao kama ulivyo na nitaufanyiq kazi.

Ila wengine sasaaaa,

Mara oooh huyu anajiuza,anatafuta bwana,mara anatafuta mume,halafu ina maana mtaani wanaume hamna Hadi mtu aje mtandaoni,Kwa wanaume gani sasa,

Yaani mwanaume anayeshinda mtandaoni masaa kibao huyu atakuwa mume wa nani.

Yaani Maria Mimi nitafute mwanaume mtandaoni, sikilizeni Mimi kama nilivyopost picha yangu mtandaoni ndivyo nilivyo,si wa kishua nimezaliwa kwenye family ya kawaida,hakuna mwanaume hawezi kuwa na Mimi sasa jidanganyeni na kujipa matumaini hewa nawezaje kujibu DM ya mtu wa jamiiforum,nawezaje kutoka na wanaume surambaya na mbovu wa humu ,wengi nimekutana nao wabayaaa mxieeew
Picha ulopost mtandaoni iko wapi tuone kweli we mzuri au iyo Avatar ya huyo m-mama sura inaonyesha kajichokea ndio wewe? Afu unakuja kujipa umhimu hapa
 
marry, hebu jaribu wakati mwingine kutengeneza urafiki na sisi wazee wa busara ambao hatuna gubu humu jukwaani, wala kuwaza ngono muda wote. Vijana wa hovyo kama Holoholo-Baba Kijacho na wenzake ndiyo wana matatizo makubwa uliyoyataja.
Umeanza vizuri ila hakuna sababu kutaja watu wengine
 
marry, hebu jaribu wakati mwingine kutengeneza urafiki na sisi wazee wa busara ambao hatuna gubu humu jukwaani, wala kuwaza ngono muda wote. Vijana wa hovyo kama Holoholo-Baba Kijacho na wenzake ndiyo wana matatizo makubwa uliyoyataja.
ukiingia kichwakichwa humu jukwaani unapotezwa mazima, wengi tunaonekana wa hovyo humu ila nje na jf mimi ni mtu huwezi kumdhania, ushauri wangu kwa Marry Diana apunguze kulialia mtandaoni,wengine huwa tunajibu hoja tukitafuta like za vicheko tu basi.
 
Back
Top Bottom