Inawezekana wewe umeweza kuweka kidole sahihi kwenye hili jambo.Hakuna chochote Cha maaana kaona isipokuwa makomandoo wa Marekani wamemuua kiongozi wa IS hapo Somalia. Wanachofanya ni kujihami maana wanajua Islamic state Wana wafuasi sehemu nyingi na hapa ni karibu Sana na Somalia lolote linaweza kutokea.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ni kama Mmarekani anajihami, kutokana na aliyotenda karibuni. Ni mbinu ya kuwaogopesha hata waliofikiri wanaweza kulipa kisasi kwa tendo lililofanyika Somalia.