Sana bro
TUMETOKA MBALI WAKUU
Kwanini unasema tumewabeba?Picha inachukiza sana. Lakini hata leo tunawabeba hao jamaa kwa namna tofauti. Je, tunaweza wabwaga?
Sent using Jamii Forums mobile app
Think twice ndugu.hao walikuwa watawala.mbona magu akipita barabarani barabara inafungwa na hakuna anayekatiza.same appliedHata aliyebebwa ni Mpumbavu.
Mtu mwenye akili huwezi kumdhalilisha hivyo binadamu mwenzio.
Wote wapumbavu.
Madereva wanaoendesha mabosi wao wanatofauti gani na hawaKwanini unasema tumewabeba?
Dereva wa rais na hawa jamaa tofauti ni ipihaki ya mama walifanya kwa wanyonge waje sasa hivi na huu utopolo
Usiwalaumu ,sisi ndio maboya zaidi,unavyodamka alfajiru kuwahi kibarua kwa mhindi na hawa jamaa ni kitu kilekileMababu zetu walikuwa maboya sana ndo maana mpaka sasa ngozi nyeupe wanatuzarau🤢
Sisi ndiyo maboya zaidi ndiyo maana tunanyanyaswa sasa hivi na ngozi nyeusi wenzetu na hata habari hatuna.Afadhali babu zetu walinyanyaswa na wakawa wanajua kuwa wananyanyaswa ila sasa hivi tunanyanyaswa na ngozi nyeusi wenzetu ila hata hatujui kuwa tunanyanyaswaMababu zetu walikuwa maboya sana ndo maana mpaka sasa ngozi nyeupe wanatuzarau
kungekuwa vijana wa siku hizi hahaha zamani washampindua huyo mzungu na kumtupa mtoni
TUMETOKA MBALI WAKUU
Kabisa kaka lakin mababu zetu waliteseka sana
TUMETOKA MBALI WAKUU
Hivi walishindwa nini kumshusha hapo wamtandike na huo mshi kichwani afe??..Mababu zetu walikuwa maboya sana ndo maana mpaka sasa ngozi nyeupe wanatuzarau🤢
Hivi walishindwa nini kumshusha hapo wamtandike na huo mshi kichwani afe??..