Hebu tuambizane, hospitali binafsi zimeanza mgomo baridi Kwa wanaotumia Bima za NHIF?

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
56,607
93,385
Leo nimepeleka mtoto kwenye dispensary Jirani ambayo NHIF insurance accepted, cha kushangaza kufika reception naambiwa vitabu vya Bima vimejaa wanatibu Kwa cash tu.

Sasa nauliza hii ni by coincidence au ndio wameamuwa kuwanyoosha NHIF kimyakimya Kwa style hii?

Vipi wewe mtaani kwako, dispensary zenye mkataba na NHIF huduma za Bima zinapatika kuanzia 1 January 2024?
 
Bima umekata ndogo unahitaji huduma kubwa weeh pambana na hali yako ile kubwa ukiwa nayo ya ml 1 hawakatai
Tatizo sio bima kubwa au ndogo, tatizo ni NHIF kutolipa kwa wakati madai ya watoa Huduma. Na sasa ndio wamepunguza vitita mfano, huduma iliyokuwa inalipiwa 25,000/= imeshushwa hadi 14,000/=

Ebu fanya maamuzi hapo, jifanye wewe ndio mtoa huduma
 
Umenikumbusha kitu.

Huwa nina kawaida ya kwenda dispensary jirani hapa mtoto anapopatwa na changamoto za kiafya.

Siku ya kwanza nilisahau bima nikatoa keshi (cash) mtoto alipokelewa poa kweli alikuwa na joto akachomwa sindano kwa kubembelezwa na nesi na baada ya hapo akapakatwa kwenye mapaja na kunyweshwa (Olo) kumuongeza nguvu huku akiitwa mchumba.

Siku ya pili nikaenda na bima, kwenye vipimo wakaorodhesha vipimo vingi hadi vingine wakasema dawa za kupimia hazipo (ila niliona kwenye computer) walikata makato, dawa baada ya kukutwa na mchafuko wa tumbo nilipewa palacetamol zingine nikaambiwa nikanunue zimeisha.

Siku ya tatu wakaniambia mtoa huduma ya bima kaenda kanisani (ilikuwa j2) ila wakanipatia ushauri nimpeleke hospitali ya serikali mara baada ya kuniona nashangaa kwamba kituo cha afya kimefunguliwa ila mwandishi wa bima hayupo nikajiongeza.
 
Bima umekata ndogo unahitaji huduma kubwa weeh pambana na hali yako ile kubwa ukiwa nayo ya ml 1 hawakatai
Huna akili kichwani, Bima yangu hata India napelekwa.

Mtoto analalamika tumbo I guess ni some food poison niende hospitali kubwa wakati ni issue za kumaliza dispensary za mtaani?

Hicho kichwa chako ni mzigo Kwa shingo.

Kwa taarifa yako mara nyingi nanunuwa dawa pharmacy wala sinaga mpango na hospitali nikiwa na hakika nahitaji dawa gani, nilichofuata hospitali ni laboratory investigation tu.
 
Umew

Umeenda hospitali ngapi, au una haraka gani kuja huku JF.
Tatizo ujuwaji mwingi ndio unawasumbuwa baadhi yenu.

Wananchi wengi hatuhitaji huduma za hospitali bali tunahitaji huduma za dispensary maeneo tunayoishi, tatizo kubwa la NHIF lipo kwenye dispensary huko ndiko hata dawa fulani hawaruhusiwi kuzitowa.

Huwezi kwenda hospitali ukakuta ujinga huu, Yani uende Hindu Mandal, Tumaini, Regency, Dar group and likes hata siku moja huwezi kukuta huu ujinga uliopo kwenye dispensary.

Muwe mnajifunza kusoma na kuelewa mtu ameandika nini.
 
Duh ni wakati sasa watanzania kuachukulia suala la afya serious.

1.Shusha neti unapo taka kulaa kama kuna mambu mbu huko kwako.

2.Jitahidi kunywa maji safi na salama

3.Makachumbali kachumbali kwa mama ntilie punguza

4.Tumia CD huko vichochoroni usipatwe na magono na makaswende.

5.Kumbuka kuangalia kulia na kushoto unapo vuka barabara...
 
Na huko kwingine.

Wanasiasa wanataka 10% ya pato la Taifa wagawane wao.

Hawa wanasiasa ni hasara kwa Taifa.
 
Huna akili kichwani, Bima yangu hata India napelekwa.

Mtoto analalamika tumbo I guess ni some food poison niende hospitali kubwa wakati ni issue za kumaliza dispensary za mtaani?

Hicho kichwa chako ni mzigo Kwa shingo.

Kwa taarifa yako mara nyingi nanunuwa dawa pharmacy wala sinaga mpango na hospitali nikiwa na hakika nahitaji dawa gani, nilichofuata hospitali ni laboratory investigation tu.
Wewe ni ndio huna akili heshima na wewe ni wale watu wapumbavu ambao wameoa kwa bahati.

Huwezi mjibu mwanamke hivyoo unatakiwa kumuelekeza peleka nyodi zako kwenu ,kwako huko kwa mke wako unabima ndogo
 
Back
Top Bottom