Hebu leo wakumbuke wahadhiri wa vyuo vikuu waliokufurahisha kwa jinsi ya umahiri wao wakufundisha na walivyokuwa 'fair'

Sokoine university of Agriculture

Prof Andrew Temu - agriculture finance and credit management ( AEA 303)

Dr Anna Temu ( atakuwa prof sina hakika ) - international trade , introduction to micro economics .

Dr Hella ( now prof )- farm management , agribusiness project appraisal and evaluation

Dr Damas- macro economics

Prof mlambiti - AEA 101 introductory agriculture economics aka Yellow book
Kipindi kizima anapita siasa .


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Prof. Tarimo, Dept. (DEST) amenifundisha design of irrigation systems, irrigation water management na irrigation structures.
Prof. Mahoo, Dept. (DEST) amenifundisha rain water harvesting, design of retention and small reservoir dams pamoja na drainage.
Prof. Kahimba, Dept. (DEST) amenifundisha analysis and design of farm structures.
Eng. Stanislaus Materu, Dept. (DEST) amenifundisha engineering drawing na fluid dynamics.

Wote hawa wanapatikana pale SUA, kwa kweli wanajitoa sana katika kufundisha, naweza kusema wameacha alama kubwa sana katika maisha yangu ya taaluma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tarimo Yule ana double cabin flani nyeupe Anaitwa Tarimo AJP kama sikosei.
Alittufundisha principle of agriculture 1st year .
Prof. Tarimo, Dept. (DEST) amenifundisha design of irrigation systems, irrigation water management na irrigation structures.
Prof. Mahoo, Dept. (DEST) amenifundisha rain water harvesting, design of retention and small reservoir dams pamoja na drainage.
Prof. Kahimba, Dept. (DEST) amenifundisha analysis and design of farm structures.
Eng. Stanislaus Materu, Dept. (DEST) amenifundisha engineering drawing na fluid dynamics.

Wote hawa wanapatikana pale SUA, kwa kweli wanajitoa sana katika kufundisha, naweza kusema wameacha alama kubwa sana katika maisha yangu ya taaluma.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa kunikosoa! Ila sikuandika 'msijari,' niliandika 'usijari' ugonvi wa r & l eeh?
Mkuu wewe utakuwa umesoma kile chuo ambacho ni jalala alikookotwa yule Prof. wa jalalani! Yaani hata kuandika "ugomvi" huwezi?
 
Prof Chambo (Rip), Prof. Magigi huyu mpaka leo naishi principle zake, Prof. Sife the best, Mwl wangu Dr Kazungu, Mwalimu wangu QM Mwal. Ngailo,

Nawapenda sana nyote! Yo the best.

Chuo kikuu cha Ushirika Moshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu usinikumbushe habari ya Ngaillo.Nilikua nasoma pale Ushirika huku nafanya kazi zangu.ndugu,kutokana na ujuaji na safari zisizokauka muda mwingi nilikua nakosa vipindi vyake.mwisho wa siku nikafeli somo lake.nikamfata privately kule ofisini kwake.nikamuomba kwa unyenyekevu sana na nikamuelezea hali halisi ya maisha yangu.Jinsi alivyokua mkali sikuamini kama aliniokoa.pale pale alinipa mtihani nikakaaa ofisini kwake na wenzangu wawili tukafanya na matokeo yalipotoka nikafaulu.Sitokusahau Ngaillo.sio kwa biti lile na mikwara ile.Nilijua nimeshafeli na narudia mwaka.Ubarikiwe kokote ulipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wewe utakuwa umesoma kile chuo ambacho ni jalala alikookotwa yule Prof. wa jalalani! Yaani hata kuandika "ugomvi" huwezi?
Chuo gani hicho bana? Cha msingi msg imefika, ila asante kwa kunikosoa ktk uandishi..! Haya, weka mwalimu wako alikuwezesha uwe vizuri mpaka kunikosoa mimi! Lazima kuna cha kumshukuru huyo mwalimu si ndio eeh?
 
What about Ntongwisangu ?Prof Masesa?
Sasa unamuuliza nani tena? Wewe kama walikufurahisha ktk ufundishaji wao, we waweke! Hatuwajadiri kama wapo vizurivau vibaya, ww mwenyewe unaeleta jina ndio utuambie!
 
Ndugu usinikumbushe habari ya Ngaillo.Nilikua nasoma pale Ushirika huku nafanya kazi zangu.ndugu,kutokana na ujuaji na safari zisizokauka muda mwingi nilikua nakosa vipindi vyake.mwisho wa siku nikafeli somo lake.nikamfata privately kule ofisini kwake.nikamuomba kwa unyenyekevu sana na nikamuelezea hali halisi ya maisha yangu.Jinsi alivyokua mkali sikuamini kama aliniokoa.pale pale alinipa mtihani nikakaaa ofisini kwake na wenzangu wawili tukafanya na matokeo yalipotoka nikafaulu.Sitokusahau Ngaillo.sio kwa biti lile na mikwara ile.Nilijua nimeshafeli na narudia mwaka.Ubarikiwe kokote ulipo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwa ni supplementary exams?
 
Giant Ntogwisangu...siku moja alimkosesha denti mmoja kwenye swali ambalo copyright from Guyton, jamaa akabebelea Guyton yake kuomba aongezewe marks! Unajua Ntogwi alimwambiaje?....Who is Guyton, I say no...! Alikuwa mbabe mwisho?
 
What about Ntongwisangu ?Prof Masesa?
Oh Masesa junior, mzee wa shauri ya Mungu na neurophysiology yake! Yuko vizuri sana nafikiri kwa Tz yote, sidhani kama tunaye mbadala wake! I stand to be corrected!
Ila usiniulize tena swali, ww muweke unayeona alikonga moyo wako, na toa maelezo why?
 
Dr Johnson Kileo -Physics na Environmental Science

Captain Katandula-Flag State, Port Operation na Marine Law huyu kipindi chake utafurahi mwanzo mwisho na Captain Mwasigala.
 
Back
Top Bottom