Unataka ku achieve nn hapa!!?
Umeshidwa kumaizi hiyo ni common error!!?Ndilo jina lake halisi. Bahati mbaya hukujua kuandika jina la Professor wako.
Crisis in Rwanda: the funeral of Prof Jwani Mwaikusa - Global Research
Dr lulu mahai, Dr maro ,tage biswalo mmarekani mungu akupe maisha marefu
Dr sasaFaty wa Mzumbe main campus.....Mungu wa Ibrahim akutunze!
Hili jamaa mwisho hapo limenifurahisha sanaProfessor Victor Mlekwa na Marehemu Dr Mtanyata.
Wa kwanza yeye akiingia kufundisha ni kucheka tu mwanzo mwisho anafurahi tu, sasa Dr. Mtanyata yeye ni matusi tu ya nguoni, yeye anaweza kufundisha kama Mara kumi tu semester nzima.
Professor Galabawa, dah Mbaya alikua na nyodo sijapata kuona, kwenye Masters akanipa B+ bahati nzuri External Examiner akanipa A.
Professor Yohana Msanjila yeye ni mzee wa busara tu, alikua Katibu wa CCT chaplaincy UDSM.
Dr. Leornad Chamuriho, kwa kweli alikua kama mzazi, hakua na nyodo, ndio Permanent Secretary sijui wa Wizara gani huko.
Professor Mbunda, babu anachomekea utadhani anachomekea na Mwiko, nadhani yale mashati alikua anachomeka kwanza kwenye pensi ndani, kyupi, suruali then mkanda.
Pro.KOPOKA!Professor Kopoka UDSM mzee wa DS na notice...mnaandika notice mpaka mkione wakati huo alikuwa Dr....why Europe underdeveloped Africa.
Mihayo udsm mzee wa philosophy mzee wa ufilipino mzee wa kodrai
Maisha ya chuo kuna namna ukiyakumbuka yanafurahisha
Sent using Jamii Forums mobile app
What about Ntongwisangu ?Prof Masesa?Prof. Mtabaji, the only Professor of Physiology in East & Central Africa by then!
We end here at this particular junction for today next time we will proceed...Prof muddy physics kutoka Massachusetts School of technology (MIT)
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hivi tunae Dr, russa.Prof. Cassian Magori, Anatomy alikuwa anafundisha mpaka raha, Muhi2 enzi hizooo!
Sasa hivi wapo akina Dr.chilo, magembe n.kProf. Mtabaji, the only Professor of Physiology in East & Central Africa by then!
Huyo mzee ana matusi sana yuko surgeryDr. Ketegile 'urologist' 'wapi na chuma ….'!
Dr,towo yuko vzuri ktk anatomyDr.Towo MD huyu jamaa ni genius ,Prof Malele fundi mmoja wa Pharmacognosy pamoja na Prof Nshimo kisha weka mzungu wa roho Dr Kalala hapa namwongeza Dr Kabati (jamaa ana lifestyle flani nilikuwa nalielewa sana) mwisho namweka bibie Prof Temu mama mmoja hivi ana roho ya peke yake .
Ngoja niweke na mwalimu wangu wa High school wa biology Mama Mbele popote ulipo ulinijengea confidence na uwezo wa kujieleza popote pale nitakapokuwa duniani na Madam Florida kuhakiki facta zangu kabla sijazungumza weka na Madam Florence wewe maza Mungu akubariki
hawa watu wengi ni wastaafu sasa kama sio kurudi kwa Muumba nawashukuru sana popote walipo.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Remember you doctor luhende na prof. Kamugisha penda sana nyie