kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 274
Shule za Msingi ( UPE )Category:Common Interest - HistoryDescription:
Ushawahi kusoma shule za kukimbia mchakamchaka, kwenda na kidumu cha maji na mfagio mkononi? Kama ndio basi kundi (Group) hili linakufaa.
Hebu jikumbushie haya:
1. Bulicheka na nduguze
2. Mr. & Mrs. Daudi
3. Fikiri na Sadiki
4. Linda amwokoa Kapilima
5. Siku ya gulio katerero
6. Tola anakula gizani
7. Twende tukawinde Ngedere
8. Kibanga ampiga mkoloni
9. Nanzoge anapika.
10. Mafuriko ya mto Rufiji
11. Pazi na jogoo
Waweza ongezea na wewe.
Kama ulisoma academy school, huambulii...
Lazima ujifunze:
1. Sayansi Kimu
2. Uraia
3. Sanaa
Wakati wa mapumziko lazima ucheze,
1. Mpira (Chandimu, one touchi, mputo)
2. Netboli na rede
3. Mdako
4. Bong'oa
5. Kula m'bakishie baba
6. Kubanjua Gololi
Msosi wakati wa mapumziko.
1. Mihogo ya kukaanga na chachandu
2. Aishiklimu
3. Barafu
4. Kashata
5. Bagia (za walimu)
Ushawahi kusoma shule za kukimbia mchakamchaka, kwenda na kidumu cha maji na mfagio mkononi? Kama ndio basi kundi (Group) hili linakufaa.
Hebu jikumbushie haya:
1. Bulicheka na nduguze
2. Mr. & Mrs. Daudi
3. Fikiri na Sadiki
4. Linda amwokoa Kapilima
5. Siku ya gulio katerero
6. Tola anakula gizani
7. Twende tukawinde Ngedere
8. Kibanga ampiga mkoloni
9. Nanzoge anapika.
10. Mafuriko ya mto Rufiji
11. Pazi na jogoo
Waweza ongezea na wewe.
Kama ulisoma academy school, huambulii...
Lazima ujifunze:
1. Sayansi Kimu
2. Uraia
3. Sanaa
Wakati wa mapumziko lazima ucheze,
1. Mpira (Chandimu, one touchi, mputo)
2. Netboli na rede
3. Mdako
4. Bong'oa
5. Kula m'bakishie baba
6. Kubanjua Gololi
Msosi wakati wa mapumziko.
1. Mihogo ya kukaanga na chachandu
2. Aishiklimu
3. Barafu
4. Kashata
5. Bagia (za walimu)