heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393
- Thread starter
-
- #61
hahahahaha anzisha mafans wako tupo utafiti
Hadi sisi rafiki zako unatuuziaa kha!!!!!makubwaa kuna ya bei kubwa zaidii tofauti na hiyo 20?
Hivi ninunue T-shirt za watoto wa mbagala kwa sh. 20000? hata kupigia deki tu mke wangu hawezi
Ila za watoto wa mikocheni utanunua?Hivi ninunue T-shirt za watoto wa mbagala kwa sh. 20000? hata kupigia deki tu mke wangu hawezi
Kama mtanipa support kila siku kutakua na updates niliyoyafanya siku nzima.. miss neddy uko na mimi?
Kama mtanipa support kila siku kutakua na updates niliyoyafanya siku nzima.. miss neddy uko na mimi?
hahahahahaha sana tu lakini utaweza kuweka picha yako halisi
Ila za watoto wa mikocheni utanunua?
Dah! hayo maneno ya kimbunye kweli, umeboa!
Picha hapana ila kama nakudai na uliahidi kunilipa deni langu leo na hujafanya hivo utakua wa mwanzo mwanzo kutajwa
Kitu kizuri huwa kinakumban na changamoto sana..mbona zinanunuliwa sana tu..haya we kanunue tshirt za watoto wa state
sometime thread zangu zinanifanya niprove ni kias gani mi ni mti wenye matunda..ningekuwa mtu wa kawaida tu,hakuna ambae angekuwa anapay antetion na mimi,kutukana ama kunitupia kashfa zisizo za msingi
Kimekuuma nini? Sipo hapa kufurahisha watu..
Hivi Mimi na elimu yangu nivae takataka?
Mbwa akimng'ata mbwa sio habari, habari ni mtu aking'ata dogi. Hapa JF ukileta stori ya kibweg.e watu wanajaa sana ili kujua aliyeleta stori yuko poa au katoroka Mirembe.
Ndo kama hivi sasa.
Babu slow down
Hahaha ndo matukio yenyewe hayo na siwezi kuacha ata moja