Heaven on desert akiwa hotelin na boss wake

ahahahahahahhahah MI IMEBIDI NIMZOEE TU KIJANA wetu! af kwanini hujaweka ile picha yetu nikiwa nakukununlia mishakaki ya kuku ya darajani?
Yani naitafuta kwenye kemera siioni sijui haters wamediliti au vipi....
 
Hivi inakuaje mtoto wa kiume anamsifia mwanaume mwenzake hivi?
Na kwanini hili suala linaendana na takwimu za kuongezeka mashoga TZ
Hembu niambie baada ya hapo alienda kukufanya nini?
 
Maisha ni popote na vyovyote vile ndugu zangu! Kwanini mnamponda mwenzenu namna hii?.. Mbona kuna watu wengi tu hapa mjini jamani wanalishwa! Ama kosa lake ni kuwa na celebrity? Ama vipi?

.........

Halafu na wewe heaven on desert uache ujinga mtoto wa kiume wewe! Hivi unafikiri ni watu wangapi wanapiga picha na celebrities hapa mjini na hawazileti hapa Jamii forums?

Hebu toa post zenye utukuko!
 
Last edited by a moderator:
Dear haters ,najua ninawachukiza saaana..ila vimilieni tu coz nina mengni ya kuwafanya mzidi kuteseka roho
tena inabidi ukiwa unaona tu thread imeanzishwa na mim basi ipite tu pembeni..ya nini kujitesa roho na kuonyesha upumb.. wako kwa matusi....??????????

No offense meant,ila mtoto wa kiume kwa majibu ya kikike kike inaleta shaka plus thread yenyewe ni kama vile jinsia KE zinavyopenda kupost picha za waume zao,nilitaraji ni picha umepiga na boss wako ukiwa unafanya kazi na si-usengerema kama huu!!!
 
Division five wewe...... kisa uliona kila mtu anashika uma upande wa kushoto basi ukajua kanuni au sio.wengine ni left hand. FYI
Ni upendeleo binafsi pia, sio sheria hiyo unaweza kushika kwa jinsi inavyokufaa wewe hata kama sio left handed.
 
Unajua hata mie nimeshangaa kidogo nikajiuliza..nikajaribu hata kujiweka kwenye hiyo picha, bado nikaona 'uma uko mkono wa kulia' na 'kisu kiko mkono wa kushoto'! Kriss-Kross ya wenzetu wa table manners... heaven on desert, ilikuwaje!?
Daktari na wewe pia umeangukia katika hili??!!! Mbona ni kawaida tu kutumia kushika uma mkono wa kulia. Of coz walioanzisha hizo manners walitumia mkono wa kushoto lakini sio lazima uwafuate mkuu!!! Inabidi ifike mahali tuwe huru kufanya vile tupendavyo, khaaa jamani imekuwa sheria au amri hiyo??
 
ni kanuni maarufu kama table manners, kwahio wewe ukienda kwenye restaurant[sio mgahawa uchwara] ukikuta vimepangwa pale utabadili???maanake visu vinawekwa kulia,uma zinawekwa kushoto,dessert/soup spoons zinawekwa juu/mbele

it doesnt matter u r left/right handed coz u have to use both hands[for holding knife and folk]!
Kwa hiyo unataka kusema kwamba hivyo vitu viko mbalimbali sana kiasi kwamba huwezi kuamua kushika uma mkono wa kulia na kisu mkono wa kushoto. Halafu waswahili mna matatizo sana, kuna sababu ule mkono ukaitwa wa kulia, unashangaza sana mkono unaitwa wa kulia halafu unashangaa mswahili akiutumia kwa kazi hiyo??!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom