Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,368
kiukweli wakuu nimekuwa nikiumwa na kichwa sana kiasi cha kufikiri uwenda ni laana.Nimetumia dawa za malaria za kila aina lakini wapi! Dawa zenyewe ni sindano aina ya antmethor,metachelphin,Duo cotexin lakini bado kichwa kinauma balaa.Hivi zaidi ya malaria nini zaidi husababisha maumivu ya kichwa.Dozi ya typhoid ndo nimemaliza.Msaada wakulu.
Nenda hospital ukapime kila kitu.