Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakikisha pia unapata choo laini kwa sababu ingine Maumivu ya kichwa hutokana na ukosefu wa kutopata haja kubwa jaribu uwe unakula Mboga za majani mapapai , matunda, ndizi, na vyakula vilaini ili uweze kupata haja kubwa kiwepesi. na hii dawa pia tumia itakusaidia Kwa Matatizo ya mfumo wa usagaji wa chakula tumboni kama vile kutosagika chakula,gesi tumboni,kutapika michango mkazo wa ghafla n.k. Tafuna kipande cha Tangawizi kila mara baada ya chakula.[/QUahsante sana nimetumia kile kitunguu swaum nikaona mabadiliko lakini bado nahisi kama ngoma inapigwa ndani ya kichwa
Hakikisha pia unalala masaa ya kutosha kuanzia masaa saba na kuendelea.[/QUlakini mbona wataalam wa afya wanasema ukilala zaidi ama ukilala muda mchache unapunguza siku za kuish?
kwa siku anaenda dukani zaidi ya mara 3,atakuwa na chumvi kiasi gani ndani?mwambie atumie chumvi yenye madini joto,siyo kununua kila akienda dukani!nunua chumvi yenye madini joto kila ukienda dukani. over
Damu ndogo,ongeza damu mwilini
Vipi bia zinaweza kumsaidia?