Ninachojua ukiugua ugonjwa wa udhaifu wa mishipa ndani ya kichwa (mishipa kuziba, kuvimba, mishipa iponayo baada ya kupasuka nk) inatakiwa ukienda haja kubwa usitumie nguvu nyingi kusukuma choo ama la sivyo mishipa inaweza pasuka na ukapata mshituko wa damu - stroke. Hivyo mgonjwa hushauriwa kula chakula laini na kunywa soft drinks za kutosha ili kupata choo laini hata hivyo hutakiwi kusukuma choo kwa haraka.
Tendo la kujisaidia haja kubwa linaungana moja kwa moja na msukumo wa damu ndani ya mishipa ya damu, ikiwa ni pamoja na mishipa ya damu iliyopo kichwani. Jaribu kuangalia tofauti ya tiba uipatayo kama ukipata choo laini na choo ngumu. Kama choo ngumu inakuletea maumivu zaidi nashauri piga picha ya MRI ya kichwa ili kupima mishipa yako kichwani kama ipo sawa. Kama ni choo laini inakuponya basi nafikiri ni saikoloji na relaxation tu ambapo pressure/stress huondoka kichwani na kuondoa maumivu.
Hata hivyo si choo laini zote ni rahisi kutoa, choo laini km "muwasho" mara nyingi huwa haiishi, ukimaliza haja bado uhahisi unayo, yaani hujamaliza. Na huambata na feeling ya utamu. Hivyo utakua na hamu ya kundelea kuitoa lakini yenyewe inaminya. Hii itakupa maximum relaxation.
Ni kweli haja kubwa ni tiba.
Ni vizuri ukamwona doktari bingwa kwa ajili ya kuchunguza kichwa - mishipa na njia za fahamu, note: mimi si dokta. Najua kidogo tu kuhusu shit.
Tendo la kujisaidia haja kubwa linaungana moja kwa moja na msukumo wa damu ndani ya mishipa ya damu, ikiwa ni pamoja na mishipa ya damu iliyopo kichwani. Jaribu kuangalia tofauti ya tiba uipatayo kama ukipata choo laini na choo ngumu. Kama choo ngumu inakuletea maumivu zaidi nashauri piga picha ya MRI ya kichwa ili kupima mishipa yako kichwani kama ipo sawa. Kama ni choo laini inakuponya basi nafikiri ni saikoloji na relaxation tu ambapo pressure/stress huondoka kichwani na kuondoa maumivu.
Hata hivyo si choo laini zote ni rahisi kutoa, choo laini km "muwasho" mara nyingi huwa haiishi, ukimaliza haja bado uhahisi unayo, yaani hujamaliza. Na huambata na feeling ya utamu. Hivyo utakua na hamu ya kundelea kuitoa lakini yenyewe inaminya. Hii itakupa maximum relaxation.
Ni kweli haja kubwa ni tiba.
Ni vizuri ukamwona doktari bingwa kwa ajili ya kuchunguza kichwa - mishipa na njia za fahamu, note: mimi si dokta. Najua kidogo tu kuhusu shit.