Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,409
Unazungumzia barakoa zipi wakati serekali ya Tanzania ilitangaza kuwa hakuna corona Tanzania?Mkuu bugando bila barakoa hauingii na maji getini yapo.Halafu tunapenda sana kulalamika enzi zile serikali ilifata kila hatua bado malalamiko yakawepo,waliruhusu hadi barakoa za vitenge watu mkatukana ila leo kule wanaposifia who pana barakoa za kushona nyingi.
Hatuwezi kuhukumu kuwa mgonjwa wa mwalimu mkuu alikua na korona. Kujikinga muhimu ila lockdown hapana. Wakitangaza saiv kuna corona watu mtaanza kulilia lockdown. Tutakula wapi.
Wameleta nyungu season 3 mnadhihaki
Unazungumzia wodi gani za Corona wakati Serekali ilishatangaza kuwa Tanzania hakuna Corona?Wapi wamesema kaingia kwenye wodi ya wagonjwa wa corona?.hivi huwa mnalipwa shilingi ngapi kuupigia debe ugonjwa wa corona?
Watu wanakufa sana kila siku kwasababu mbalimbali toka zamani. Sema tu usambaaji wa taarifa kwa siku za hivi karibuni umekuwa rahisi kutokana na teknolojia ya mawasiliano.
Mna ukuza sana huu ugonjwa.
Sasa mbona unaongelea ugonjwa wa corona kwenye wodi za hospitali za Tanzania wakati huo ugonjwa haupo.Unazungumzia wodi gani za Corona wakati Serekali ilishatangaza kuwa Tanzania hakuna Corona?
Ndiyo, mwalimu mkuu ni wa shule ya msingi, Mkuu wa shule ni wa Sekondari!!Mwalimu mkuu na mkuu wa shule kuna tofauti yoyote?
😀 😀 😀😩
Imebidi nimtembelee Google walau nielewe
Let my people die.Habari wanajukwaa,
Shule kongwe ya ufundi ya Bwiru boys imepoteza mwalimu wake mkuu, mwalimu Elias Kaboja.
Taarifa zinadai Mwalimu Kaboja alienda kumsalimu mwalimu wake hospitali ya Bugando na alipotoka naye akaugua na alipopelekwa hospitali hakuweza kurejea tena nyumbani.
Point sanaMkuu Bugando bila barakoa hauingii na maji getini yapo. Halafu tunapenda sana kulalamika enzi zile serikali ilifata kila hatua bado malalamiko yakawepo, waliruhusu hadi barakoa za vitenge watu mkatukana ila leo kule wanaposifia who pana barakoa za kushona nyingi.
Hatuwezi kuhukumu kuwa mgonjwa wa mwalimu mkuu alikua na korona. Kujikinga muhimu ila lockdown hapana. Wakitangaza sahiv kuna corona watu mtaanza kulilia lockdown. Tutakula wapi.
Wameleta nyungu season 3 mnadhihaki
Lakini presentation yako inaweza kumuudhi mtu yeyoteUmesoma jinsi huyo mwalimu alivyofariki? Alienda kumtembelea mwenzake hospitali then aliporudi nae akaanza kuumwa na kufa.
Maana yake kama tungekuwa tunacheza kwaito ya WHO huyu mwalimu asingeruhusiwa kuingia hospitali bila ya tahadhari zote na pengine hata asingeruhusiwa kuingia kwenye wodi ya wagonjwa wa Corona na leo angekuwa hai.
Lakini kwa sababu tumechagua kucheza sengeli huyu mwalimu aliingia wodi ya wagonjwa wa corona kwa madai kuwa mgonjwa anaumwa pnemonia kwa hiyo hana haja ya kuchukua tahadhari yoyote na matokeo yake ndiyo hayo!
Yaani unaambiwa kuwa korona ni inhibitive syndrome -- ikiingia mtaani, maradhi mengine yote yanajitowesha kwa muda, ikiwemo ajali kama za barabarani, of course.R.I.P.
My era school.siku hizi bongo ukifa tu ni watu wanasema corona. It means magonjwa mengine inabidi yasiue kwanza mpaka corona iishe
Mkuu wa shule kuanzia secondary.. mwalimu mkuu primary nakushuka chiniMwalimu mkuu na mkuu wa shule kuna tofauti yoyote?
Unajua kusoma kwa ufasaha?Umesoma nilichoandika?Katika andiko langu nimezungumzia mambo ambayo yangekuwepo/yangefanyika iwapo Tanzania isingeficha kuwa Corona ipo na ingekuwa inafuata taratibu za WHO.Sasa mbona unaongelea ugonjwa wa corona kwenye wodi za hospitali za Tanzania wakati huo ugonjwa haupo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itaudhi watu wasiopenda kuambiwa ukweli na wanafiki!Lakini presentation yako inaweza kumuudhi mtu yeyote
Mwalimu mkuu ni wa shule ya msingi,mkuu wa shule hutumika sekondariMwalimu mkuu na mkuu wa shule kuna tofauti yoyote?
Meko anawadanganya wanamuaminiHivi jamani kwanini tunashindwa hata kuvaa mask na kunawa mtu unaenda Hosp haijalishi anaumwa nini.
Sasa kama walimu sasa sijui usalama wa wanafunzi na labda wanafunzi kwa kuwa wana nguvu ya kupambana na huu ugonjwa ila je wakiwapelekea wazazi wao au bibi na babu majumbani.
Hatari sana.
Diportivo? Prolly.
Apumzike kwa amani school mate wangu. Kuhusu chanzo cha kifo, nijuavyo mimi Elias alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kisukari kwa muda mrefu sasa na alikuwa akihudhuria Kliniki hapo Bugando.Habari wanajukwaa,
Shule kongwe ya ufundi ya Bwiru boys imepoteza mwalimu wake mkuu, mwalimu Elias Kaboja.
Taarifa zinadai Mwalimu Kaboja alienda kumsalimu mwalimu wake hospitali ya Bugando na alipotoka naye akaugua na alipopelekwa hospitali hakuweza kurejea tena nyumbani.
Mwalimu mkuu ni kiongoziMwalimu mkuu na mkuu wa shule kuna tofauti yoyote?
Haya na huyu njoo umbishie maana katoa taarifa ya ungonjwa usiohusika na coronaUnazungumzia barakoa zipi wakati serekali ya Tanzania ilitangaza kuwa hakuna corona Tanzania?
Mkuu watu wamesharirishwa ni corona watakubishia na kukutukana.Apumzike kwa amani school mate wangu. Kuhusu chanzo cha kifo, nijuavyo mimi Elias alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kisukari kwa muda mrefu sasa na alikuwa akihudhuria Kliniki hapo Bugando.