TANZIA Head Master wa Bwiru Boys, Elias Kaboja afariki dunia

Mkuu bugando bila barakoa hauingii na maji getini yapo.Halafu tunapenda sana kulalamika enzi zile serikali ilifata kila hatua bado malalamiko yakawepo,waliruhusu hadi barakoa za vitenge watu mkatukana ila leo kule wanaposifia who pana barakoa za kushona nyingi.

Hatuwezi kuhukumu kuwa mgonjwa wa mwalimu mkuu alikua na korona. Kujikinga muhimu ila lockdown hapana. Wakitangaza saiv kuna corona watu mtaanza kulilia lockdown. Tutakula wapi.

Wameleta nyungu season 3 mnadhihaki
Unazungumzia barakoa zipi wakati serekali ya Tanzania ilitangaza kuwa hakuna corona Tanzania?
 
Wapi wamesema kaingia kwenye wodi ya wagonjwa wa corona?.hivi huwa mnalipwa shilingi ngapi kuupigia debe ugonjwa wa corona?

Watu wanakufa sana kila siku kwasababu mbalimbali toka zamani. Sema tu usambaaji wa taarifa kwa siku za hivi karibuni umekuwa rahisi kutokana na teknolojia ya mawasiliano.

Mna ukuza sana huu ugonjwa.
Unazungumzia wodi gani za Corona wakati Serekali ilishatangaza kuwa Tanzania hakuna Corona?
 
Mkuu Bugando bila barakoa hauingii na maji getini yapo. Halafu tunapenda sana kulalamika enzi zile serikali ilifata kila hatua bado malalamiko yakawepo, waliruhusu hadi barakoa za vitenge watu mkatukana ila leo kule wanaposifia who pana barakoa za kushona nyingi.

Hatuwezi kuhukumu kuwa mgonjwa wa mwalimu mkuu alikua na korona. Kujikinga muhimu ila lockdown hapana. Wakitangaza sahiv kuna corona watu mtaanza kulilia lockdown. Tutakula wapi.

Wameleta nyungu season 3 mnadhihaki
Point sana
 
Umesoma jinsi huyo mwalimu alivyofariki? Alienda kumtembelea mwenzake hospitali then aliporudi nae akaanza kuumwa na kufa.

Maana yake kama tungekuwa tunacheza kwaito ya WHO huyu mwalimu asingeruhusiwa kuingia hospitali bila ya tahadhari zote na pengine hata asingeruhusiwa kuingia kwenye wodi ya wagonjwa wa Corona na leo angekuwa hai.

Lakini kwa sababu tumechagua kucheza sengeli huyu mwalimu aliingia wodi ya wagonjwa wa corona kwa madai kuwa mgonjwa anaumwa pnemonia kwa hiyo hana haja ya kuchukua tahadhari yoyote na matokeo yake ndiyo hayo!
Lakini presentation yako inaweza kumuudhi mtu yeyote
 
R.I.P.
My era school.siku hizi bongo ukifa tu ni watu wanasema corona. It means magonjwa mengine inabidi yasiue kwanza mpaka corona iishe
Yaani unaambiwa kuwa korona ni inhibitive syndrome -- ikiingia mtaani, maradhi mengine yote yanajitowesha kwa muda, ikiwemo ajali kama za barabarani, of course.
 
Sasa mbona unaongelea ugonjwa wa corona kwenye wodi za hospitali za Tanzania wakati huo ugonjwa haupo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kusoma kwa ufasaha?Umesoma nilichoandika?Katika andiko langu nimezungumzia mambo ambayo yangekuwepo/yangefanyika iwapo Tanzania isingeficha kuwa Corona ipo na ingekuwa inafuata taratibu za WHO.
 
Hivi jamani kwanini tunashindwa hata kuvaa mask na kunawa mtu unaenda Hosp haijalishi anaumwa nini.

Sasa kama walimu sasa sijui usalama wa wanafunzi na labda wanafunzi kwa kuwa wana nguvu ya kupambana na huu ugonjwa ila je wakiwapelekea wazazi wao au bibi na babu majumbani.

Hatari sana.
Meko anawadanganya wanamuamini
 
Habari wanajukwaa,

Shule kongwe ya ufundi ya Bwiru boys imepoteza mwalimu wake mkuu, mwalimu Elias Kaboja.

Taarifa zinadai Mwalimu Kaboja alienda kumsalimu mwalimu wake hospitali ya Bugando na alipotoka naye akaugua na alipopelekwa hospitali hakuweza kurejea tena nyumbani.

Apumzike kwa amani school mate wangu. Kuhusu chanzo cha kifo, nijuavyo mimi Elias alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kisukari kwa muda mrefu sasa na alikuwa akihudhuria Kliniki hapo Bugando.
 
Aiseee siamin kaam ukiwa unashabikia upinzani unapoteza kabisa ufahamu. Corona ilipoingia ilitangazwa mara hii umesahau,umesahau ummy alipokua anatoa takwimu,umesahau mgonjwa wa kwanza alivyopatikana na mgonjwa wa kwanza alipotangazwa. Acha kujitoa akili mkuu

Kujifukiza,barakoa za vitenge,malimao yote mliyakataa mkatukana kweli kweli
Unazungumzia barakoa zipi wakati serekali ya Tanzania ilitangaza kuwa hakuna corona Tanzania?
Haya na huyu njoo umbishie maana katoa taarifa ya ungonjwa usiohusika na corona
Apumzike kwa amani school mate wangu. Kuhusu chanzo cha kifo, nijuavyo mimi Elias alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kisukari kwa muda mrefu sasa na alikuwa akihudhuria Kliniki hapo Bugando.
Mkuu watu wamesharirishwa ni corona watakubishia na kukutukana.
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom