Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,738
- 15,211
Jana kuna mbunge amesema wakati Tanesco wanasema mvua zinazonyesha maji hayaingii kwenye mabwawa, yeye na kamati yake walienda kuangalia kama ni kweli anasema cha ajabu walikuta ni kweli bwawa la kufua umeme halina maji ila mabwawa mengine madogo ya wavuvi na mito ya around maeneo hayo yamejaa maji balaa!!
Tuhuma nzito kama hii inatolewa na mbunge tena bungeni lkn Lisu, Mbowe, Zito Kabwe wako kimya!!!
Kwa hali hiyo hata bwawa la mwl nyerere kufungwa mashine 2 tu mpaka sasa badala ya mashine 9 ni mipango ya watu
Kama akina mbowe, Lissu , Zitto waliweza kuwatetea acacia wanashindwa nini kuwasemea watanzania?
Acacia ni wa muhimu mno kuliko mabwawa ya maji?
#tutashitakiwa miga
View: https://www.instagram.com/reel/C3AWDRkuS9P/?igsh=MWo3MDM1MTFzZ mgzMA==
CHANZO CHA UMEME KUKATIKA SIKILIZA HIZO FIGISU ZINAZOFANYIKA NA MAJANGA TU
Tuhuma nzito kama hii inatolewa na mbunge tena bungeni lkn Lisu, Mbowe, Zito Kabwe wako kimya!!!
Kwa hali hiyo hata bwawa la mwl nyerere kufungwa mashine 2 tu mpaka sasa badala ya mashine 9 ni mipango ya watu
Kama akina mbowe, Lissu , Zitto waliweza kuwatetea acacia wanashindwa nini kuwasemea watanzania?
Acacia ni wa muhimu mno kuliko mabwawa ya maji?
#tutashitakiwa miga
View: https://www.instagram.com/reel/C3AWDRkuS9P/?igsh=MWo3MDM1MTFzZ mgzMA==
CHANZO CHA UMEME KUKATIKA SIKILIZA HIZO FIGISU ZINAZOFANYIKA NA MAJANGA TU