Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,618
Hebu uache utani. Mtu aliye mheshimiwa, anaweza kuuawa kifo cha fedheha, cha kupigwa mawe?
Mheshimiwa ni nani?
Hebu uache utani. Mtu aliye mheshimiwa, anaweza kuuawa kifo cha fedheha, cha kupigwa mawe?
find "mheshimiwa hayati" replace with "Mtuhumiwa wa uporaji wa ardhi"Aliyekuwa diwani wa kata ya kisesa, mheshimiwa hayati Mzee Climent Mabina kuzikwa kesho
Mazishi yatafanyika kisesa, mwanza kuanzia saa NNE asubuhi.
Wananchi, wakereketwa wa vyama vyote na viongozi wetu wapendwa watakuepo
RIP mpendwa, Mungu ndo mtoa hukumu, tuache jazba
source RFA
Hayati mabina upumzike salama komredi.
Vipi MAGNAM kashafika kwenye mazishi!!
Mheshimiwa Jambazi, Kibaka na Muuaji.....tusipende kupamba watu.
Hebu uache utani. Mtu aliye mheshimiwa, anaweza kuuawa kifo cha fedheha, cha kupigwa mawe?
atarestije ni Peace wakati kichwa kimebondeka bondeka kwa mawe?kumbe aliuawa kwao kabisa,RIP MABINA
Aliyekuwa diwani wa kata ya kisesa, mheshimiwa hayati Mzee Climent Mabina kuzikwa kesho
Mazishi yatafanyika kisesa, mwanza kuanzia saa NNE asubuhi.
Wananchi, wakereketwa wa vyama vyote na viongozi wetu wapendwa watakuepo
RIP mpendwa, Mungu ndo mtoa hukumu, tuache jazba
source RFA
Nikurekebishe kidogo; Mwokozi wa Ulimwengu, Yesu Kristo, yule Mnazareti, pamoja na kuwa alikuwa "yuna namna ya Mungu", aliuwawa kifo cha fedheha na aibu kwa kutundikwa Msalabani hadharani. So, generally, sio kweli kwamba aina ya kifo anachouwawa mtu kina-reflect "uheshimiwa" wake. Vilevile sio kweli kwamba uheshimiwa wa mtu huamua aina ya kifo chake.
Nakala: FaizaFoxy, Ritz
alazwe pema kwa lipi hasa ikiwa alishindwa kuthamini utu wa wengine?Mungu amlaze mahala pema. Ndio njia ya kila mmoja.