Natokea huku ambako Sugu ni rais baridi ndo nyumbani kwao. . .I hope kufika huko muda ya jioni kwenye saa moja hivi.
Natokea huku ambako Sugu ni rais baridi ndo nyumbani kwao. . .I hope kufika huko muda ya jioni kwenye saa moja hivi.
karibu mkuu jiji la maraha
Atayekupokea msisitize akulete kinondoni!!!ndo dar es salaam yenyewe!!!
Niko hapa landmark hotel,ukija niDIPU kwa namba ile ile.