GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,117
"Kwa nje namtafsiri kijana kwa umri wake na matendo yake. Kijana kiumri kuanzia miaka 16 hadi 34. Kuanzia miaka 35 hadi 45 ni mtu wa makamo. Kuanzia 50 na kuendelea ni mtu mzima. Miaka 70 na kuendelea ni Mzee" Mwanaidi Kombo, Mwanasaikojia.
Chanzo: cloudstv
GENTAMYCINE nilikuwa najiona tayari nimeshakuwa Mzee, kumbe Nilijidanganya tu bado sana na kumbe hata hivi sina Mpango wa Kuoa Mtoto wa Mtu kwa sasa nipo sawa kwani kwa Kundi la Umri nililipo bado natakiwa Kuzichakata 'naniliu' zote mpaka nizichoke ndipo niwaze sasa Kuoa ili nitulie nae daima milele Amina.
Chanzo: cloudstv
GENTAMYCINE nilikuwa najiona tayari nimeshakuwa Mzee, kumbe Nilijidanganya tu bado sana na kumbe hata hivi sina Mpango wa Kuoa Mtoto wa Mtu kwa sasa nipo sawa kwani kwa Kundi la Umri nililipo bado natakiwa Kuzichakata 'naniliu' zote mpaka nizichoke ndipo niwaze sasa Kuoa ili nitulie nae daima milele Amina.