Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,709
- 36,166
Kuna vijana wa hovyo, pia kuna wananchi wa hovyo.
Sasa sijui hawa wananchi wa hovyo wamechukizwa na nini, lakini najua tu kuna vitu vimetendwa aidha na serikali yao au na baadhi ya viongozi wao ndivyo vimewajengea chuki dhidi ya taifa lao tukufu.
Haya haters toeni utabiri wenu hapa ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Sasa sijui hawa wananchi wa hovyo wamechukizwa na nini, lakini najua tu kuna vitu vimetendwa aidha na serikali yao au na baadhi ya viongozi wao ndivyo vimewajengea chuki dhidi ya taifa lao tukufu.
Haya haters toeni utabiri wenu hapa ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜