Haya ndio niliyoyaona Chanika - Dar es Salaam

Haya ndio niliyoyaona Chanika - Dar es Salaam

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,193
Reaction score
3,957
Eti Chanika kule napo ni Dar aisee, haya ndiyo niliyoyaona

● Kule huwezi kutofautisha kijana na mzee, maana wote wamevaa vibaragashia chini, wamefunga nguo sijui ni kitenge
● Ukipita macho yote kwako, utasindikizwa na macho hadi utakapoishia
● Mashamba ya mihogo kama mikoa tu
● Maduka yanafungwa saa mbili tu, kufunguliwa ni saa tano asubuhi

Chanika na maeneo mengine ambayo sijayataja hayana hasi ya kuwa DSM, kuna baadhi ya mikoa Kanda za Ziwa ni bora kuliko Chanika, kwa mfano Geita iko vizuri sana kuliko huku DSM sijui Chanika et naishi Dar ndo Chanika kweli tena ndani ndani 😀
 
et chanika kule napo ni dar aisee haya ndio niliojionea
● kule huwezi kutofautisha kijana na mzee maana wote wamevaa vibaragashia chini wamefunga nguo sijui ni kitenge
● ukupita macho yote kwako, utasindikizwa na macho ad utakapoishia
● Mashamba ya mihogo kama mikoa tu
● Maduka yanafungwa saa mbili tu kufunguliwa ni saa tano asbh
chanika na maeneo mengine ambayo sijayataja hayana hasi ya kuwa dsm, Kuna baadhi ya mikoa kanda za ziwa ni bora kuliko chanika kwamfano geita iko vizuri sana kuliko huku dsm sijui chanika et naishi dar ndo chanika kweli tena ndani ndani😀
Ukifatilia vizuri utagundua maisha unayoishi geita ndo hayo hayo unaweza ukayaishi hata ukiwa DSM

Nikimaanisha ile kufatilia maisha ya watu
 
et chanika kule napo ni dar aisee haya ndio niliojionea
● kule huwezi kutofautisha kijana na mzee maana wote wamevaa vibaragashia chini wamefunga nguo sijui ni kitenge
● ukupita macho yote kwako, utasindikizwa na macho ad utakapoishia
● Mashamba ya mihogo kama mikoa tu
● Maduka yanafungwa saa mbili tu kufunguliwa ni saa tano asbh
chanika na maeneo mengine ambayo sijayataja hayana hasi ya kuwa dsm, Kuna baadhi ya mikoa kanda za ziwa ni bora kuliko chanika kwamfano geita iko vizuri sana kuliko huku dsm sijui chanika et naishi dar ndo chanika kweli tena ndani ndani😀
Kijana mdogo sana wewe,hujui usemalo!enzi hizo tukiishi upanga mtaa wa mindu,tuliona kariakoo uswahilini sana,tulikuwa tu tunapita pugu road kwenda airport tulikuwa na dharau wewe,leo nipo mkuranga,hakuna mbali kijana!,ishi kwa upole,heshimu kila mtu!
 
Kijana mdogo sana wewe,hujui usemalo!enzi hizo tukiishi upanga mtaa wa mindu,tuliona kariakoo uswahilini sana,tulikuwa tu tunapita pugu road kwenda airport tulikuwa na dharau wewe,leo nipo mkuranga,hakuna mbali kijana!,ishi kwa upole,heshimu kila mtu!
Yeye ndiyo hayo aliyoyaona.Utamkatazaje alichokiona kwa sababu ya wewe ulivyoiona Kariakoo ya kale wakati hajaiona Chanika ya keshokutwa?
 
Kweli kabisa hana shukrani. Watu wa chanika wamekomboa kaya nyingi kwa kukaanga miogo na kujipatia kipato! Wanastahili kupongezwa
Kweli kabisa hana shukrani. Watu wa chanika wamekomboa kaya nyingi kwa kukaanga miogo na kujipatia kipato! Wanastahili kupongezwa
Miongoni mwa hao watu wala mihogo,nipo mimi.Nikipotea siku nzima bila kurudi basi ujue nilipitia kubugia mihogo.
 
Eti Chanika kule napo ni Dar aisee, haya ndiyo niliyoyaona

● Kule huwezi kutofautisha kijana na mzee, maana wote wamevaa vibaragashia chini, wamefunga nguo sijui ni kitenge
● Ukipita macho yote kwako, utasindikizwa na macho hadi utakapoishia
● Mashamba ya mihogo kama mikoa tu
● Maduka yanafungwa saa mbili tu, kufunguliwa ni saa tano asubuhi

Chanika na maeneo mengine ambayo sijayataja hayana hasi ya kuwa DSM, kuna baadhi ya mikoa Kanda za Ziwa ni bora kuliko Chanika, kwa mfano Geita iko vizuri sana kuliko huku DSM sijui Chanika et naishi Dar ndo Chanika kweli tena ndani ndani 😀
Chanika na Nanjilinji ni ngoma droo
 
Back
Top Bottom