Haya ndege hiyoooooo

Haya ndege hiyoooooo

Watanzania wenzangu jifunzeni tabia ya kudadisi vitu kwa kina, kupata uelewa wa vitu, kuainisha mapungufu na kupendekeza solutions, vile vile the tujifunze kuwapa wengine moyo pale wanapojaribu jambo fulani. Tabia za kubeza na kukebehi bila hata kujua jambo lenyewe, mnapotea ni tabia za kichawi na stone ages, jaribuni kubadilika japo kidogo, hizi ni zama za technology kubwa inayokuwa kwa kasi. Mfano wengi wenu humu mnabeza ndege hizi lakini hamjui hata zinafaida gani au upungufu gani, yaani nyinyi ni watu wa kuzomea tu tena mambo msiyoyajua bali kwa kusikia tu, mpo na kimbelembele cha kushabikia vitu vya watu huku mkiponda vya kwenu. Mtu hata kujitahidi tu kufungua website ya kampuni iliyotengeneza ndege hiyo na kujua kwamba ukikaa karibu na hilo pangaboi hakuna shida, hamuwezi unakalisha makalio yako na kupuuza jitihada za wenzako bila hata kujisumbua, shame on you guys.
Sisi tumeiponda ndege, wewe umetuponda sisi tulioiponda ndege kwa kwa kosa la kuiponda ndege ukatukejeli kwa misamiati ya Didas M.

Sasa wasomaji hapa nani ana afadhali.
 
Watanzania wenzangu jifunzeni tabia ya kudadisi vitu kwa kina, kupata uelewa wa vitu, kuainisha mapungufu na kupendekeza solutions, vile vile the tujifunze kuwapa wengine moyo pale wanapojaribu jambo fulani. Tabia za kubeza na kukebehi bila hata kujua jambo lenyewe, mnapotea ni tabia za kichawi na stone ages, jaribuni kubadilika japo kidogo, hizi ni zama za technology kubwa inayokuwa kwa kasi. Mfano wengi wenu humu mnabeza ndege hizi lakini hamjui hata zinafaida gani au upungufu gani, yaani nyinyi ni watu wa kuzomea tu tena mambo msiyoyajua bali kwa kusikia tu, mpo na kimbelembele cha kushabikia vitu vya watu huku mkiponda vya kwenu. Mtu hata kujitahidi tu kufungua website ya kampuni iliyotengeneza ndege hiyo na kujua kwamba ukikaa karibu na hilo pangaboi hakuna shida, hamuwezi unakalisha makalio yako na kupuuza jitihada za wenzako bila hata kujisumbua, shame on you guys.
Huezi amini nchi ya Tanzania ndo nchi ambayo ukifanya kitu kizur kitaonekana kibaya.afu ukifanya kibaya ndo kinakuwa kizuri...
Ubongo wa bongo umelala na kufaaa
 
Unajua maana yake hilo neno mkuu au umekariri tu?
Nimekariri tu!, ila it is too early to judge! ndiyo maana nimekariri hilo neno! (spoken or written words that have no meaning or make no sense.)
 
Wachene maneno nyie watu msiopenda maendeleo hebu tumieni busara kidog.

Hizo ndeg nzuri sn kwa kuimarisha usafiri wa ndani kwani lipo soko la kutosha .
Bombardier q400 price $28milion mbili $56 milion

Kwa hiyo wange taka Boeng or airbus 320 kama za fast jet wangepata zipo nying tu used ambazo zina umri miaka 15 au 20 kwa hiyo halikuwa lengo la hizo airbus au boeng mnazo ziona ndio ndege .

Big up... ATCL
 
Ubinadam kazi kwel.unanunua ndege kwa kuanzia kufikiria soko la ndani kwako na jali ya viwanja watu wanalalamika wanasema vipangaboi na maneno mengine ya kejeli.Angeamua kuagiza kwanza B777 au A350 wangelalamika kwa kusema kasahau soko la ndani na anataka kikimbia kabla ya kutambaa.ubinadam kazi kweli
 
secondQ400_zpsrllvksir.jpg
Hiyo blue ilivyowekwa mbaya na pia huyo twiga kawekwa kienyeji mno, muonekano hauna mvuto! Ingekuwa tu all white na michirizo myembamba ya blue toka mbele hadi nyuma!
 
Aisee,ni aibu kwa TZ yenye 50+ ya uhuru kuwa na kidude kama hiko,hivi hakipeperushwi na upepo kweli ??
 
Watanzania wenzangu jifunzeni tabia ya kudadisi vitu kwa kina, kupata uelewa wa vitu, kuainisha mapungufu na kupendekeza solutions, vile vile the tujifunze kuwapa wengine moyo pale wanapojaribu jambo fulani. Tabia za kubeza na kukebehi bila hata kujua jambo lenyewe, mnapotea ni tabia za kichawi na stone ages, jaribuni kubadilika japo kidogo, hizi ni zama za technology kubwa inayokuwa kwa kasi. Mfano wengi wenu humu mnabeza ndege hizi lakini hamjui hata zinafaida gani au upungufu gani, yaani nyinyi ni watu wa kuzomea tu tena mambo msiyoyajua bali kwa kusikia tu, mpo na kimbelembele cha kushabikia vitu vya watu huku mkiponda vya kwenu. Mtu hata kujitahidi tu kufungua website ya kampuni iliyotengeneza ndege hiyo na kujua kwamba ukikaa karibu na hilo pangaboi hakuna shida, hamuwezi unakalisha makalio yako na kupuuza jitihada za wenzako bila hata kujisumbua, shame on you guys.


Kwani wewe umewasahau Wabongo? Ngoja nikukumbushe ni mara ngapi umemsikia Mtanzania akimcheka mtu anayeendesha Toyota vits au Nissan march wakati yeye anapanda daladala kila siku?
Au ulishawahi kumpa lift Mtanzania halafu akakwambia na wewe jaribu hata kununua gari kubwa kidogo ka, hivyo basi usishangae sana ni Intelligence, Watanzania wengi IQ 70 kwa nchi nje ya Afrika watu wana wastani wa kuanzia 85 nakuendelea hivyo ni shida ya intelligence, watu wetu wengi are just stupid huo ndiyo ukweli wenyewe ni hakuna kitu utafanya ingawaje inauma, too stupid for this earth!!
 
Kwani wewe umewasahau Wabongo? Ngoja nikukumbushe ni mara ngapi umemsikia Mtanzania akimcheka mtu anayeendesha Toyota vits au Nissan march wakati yeye anapanda daladala kila siku?
Au ulishawahi kumpa lift Mtanzania halafu akakwambia na wewe jaribu hata kununua gari kubwa kidogo ka, hivyo basi usishangae sana ni Intelligence, Watanzania wengi IQ 70 kwa nchi nje ya Afrika watu wana wastani wa kuanzia 85 nakuendelea hivyo ni shida ya intelligence, watu wetu wengi are just stupid huo ndiyo ukweli wenyewe ni hakuna kitu utafanya ingawaje inauma, too stupid for this earth!!
Hakika ni kweli kabisa, inauma sana kuzungukwa na watu wa aina hii
 
Kwani wewe umewasahau Wabongo? Ngoja nikukumbushe ni mara ngapi umemsikia Mtanzania akimcheka mtu anayeendesha Toyota vits au Nissan march wakati yeye anapanda daladala kila siku?
Au ulishawahi kumpa lift Mtanzania halafu akakwambia na wewe jaribu hata kununua gari kubwa kidogo ka, hivyo basi usishangae sana ni Intelligence, Watanzania wengi IQ 70 kwa nchi nje ya Afrika watu wana wastani wa kuanzia 85 nakuendelea hivyo ni shida ya intelligence, watu wetu wengi are just stupid huo ndiyo ukweli wenyewe ni hakuna kitu utafanya ingawaje inauma, too stupid for this earth!!
We nawe huo mfano hata hauendani,ingekuwa hizo ndege ni za UGANDA kisha sisi waTZ tukazicheka huo mfano ulikuwa sawa,lakini ndege zimenunuliwa na pesa zetu lakini tunacheka kwa vile aliyetununulia ndio hakutuchagulia chaguo sahihi kwavile anajisifu kuwa yuko makini,lakini hapo kachemka.
 
Back
Top Bottom