kirabe
JF-Expert Member
- Jan 29, 2015
- 434
- 301
ilo bonge la ndege angalia kwenye site ya hizo ndege, uone uwezo wake..Na kama yapo mambo mengi..kwanini wameenda kuleta haka kapicha??? Kwanini wasingepeleka ela kwenye mambo ya msingi zaidi?? Hata sijaona la maana hapo.....ajira hamna...mishaara inachelewa ...wanafunzi vyuoni wanalalamika ela za field...alafu bado tunaleta haka ka ndege!!! Au ni dili la mtu hili?
utaona ni jinsi gani watu wanavyoongea sana wasioyajua humu mitandaoni
