Haya ndege hiyoooooo

Haya ndege hiyoooooo

Baada ya miaka 50+ ya uhuru tunaleteana kapicha ka photoshop eti ndege inapaa!!!!

Japo wanasema paul kagame hataki kuachia madaraka lakini ameweka juhudi mpaka wametuacha sisi tukia na kipicha cha ndege!!! Ethiopia na kenya wote wametuacha ...sisi bado tupo na kipicha cha ndege inayopaa!!!

Hii ndege haina hata uwezo wa kwenda hapo kenya achilia mbali japan...usa...europe!!! Yanu ni ya mwanza...kilimanjaro dar...morogoro daaah!!

Wa hiyo mkuu unataka kusema kwamba imekuja kwa miguu kutoka canada?
 
Hizo ndo zinafaa kwa soko la tanzania kwa sasa mana safari za nje bado
Na atakama Magu angeleta hizo bado mngeponda2.maana hamjui mkitakacho
 
watu wana ufinyu wa fikra, wamekaa kukosoa tu, Air Berlin baadhi ya safari wanatumia hizo ndege pia makampuni mengine makubwa kama ethiopia na mengine ya canada
Mkuu hao jamaa kila kitu kwao Ni kibaya!
Afadhari Raisi anavyowawekea uso wa mbuzi!!
 
Una akili timamu? Ndege ina miguu?

Tuliza munkari kijana, unaposema haiwezi kuruka to kenya how was it possible to fly from canada to tz, shirika lilikua lishauwawa na mafisadi sasa mlitaka boeng inunuliwe na nini mana hata madawati imekua kwa msaada wa wahisani

ATCL is coming back on air, mtaipenda tu japo ngumu kumesa
 
Jamani Hizi ndege hata mashirika ya wazungu wanatumia na wazungu wanapanda kwa safari fupifupi
pcaviator-dash-8-q400-pilot-edition-boxed_21_ss_l_130703164833.jpg
Flybe Bombardier Q400 aircraft.jpg
 
Nimeamin mazezeta yote nchi hii yako chadema.

Hivi kumbe nimeamini maksudi yenu cku zote ni kuona taifa linaharibikiwa na kusambaratika?

Hakyamungu kwa muktadha Ikulu mtaisikia milele.Hata mungu hapendi chuki hizi zisozo na ukomo.

Isitoshe,mafanikio yote ya magufuli ni kwa mapenzi yake mola.

Mtalaaniwa sana kwa huu ukosoaji wa kijinga...

Kamsaidieni baba yenu kulipa deni la serikali maana tayari vikao vya kimchangia vimeshaanza.

Mzigo wa.....huishia begani.
 
Watu kama nyinyi usikute ni kula kulala kwa shemeji yako lakn hapa nyuma ya keyboard mnajigamba utadhan ni lolote
Kwa shemeji yangu mimi, halafu wewe unaumia si uchizi huo.......mi nilidhani utasema nakuja kula kwa shemeji yako wewe ???
 
Nmeona tangazo la rwanda air kwnye tv zetu....Sisi bdo tunacheza!
 
Jamani huku JF ukiwa na hasira kidogo tu unawapiga Watanzania wote miaka 10 jela......wakosoaji nyomi! ....eti kandege gani haka?
 
Mbona haina usajili wa Tanzania? Ndege za Tanzania zina usajili unaoanza na namba 5H...
 
Chadema wana miaka 25 ofisi hawana wamepanga makaburini eti Leo wanaleta ubavu wa kuponda anayenunua ndege!!!

Only in Tanzania.

Shame on you chadema
 
io ndege ni kwaajili ya safari za ndani, shirika lilifilisika sio rahisi urudi na kuanza na ndege za gharama kubwa...

Na Utawala uliopo una miezi tu, hayo mashirika unayoyaona yana ndege za thamani kubwa haya kuanza na hizo...

nchi ina mambo mengi ya kushughulikia sasa unataka wawekeze kwenye ndege tu

Nafurahi sana kusoma comment ya namna hii, mkuu wewe una mtazamo makini!! Watz wengi wamekalia kuponda tu bila kujali hali ya shirika letu ilivyokuwa, wanadhani mafanikio yanakuja overnight!!
 
Back
Top Bottom