Haya ndege hiyoooooo

Haya ndege hiyoooooo

Nafurahi sana kusoma comment ya namna hii, mkuu wewe una mtazamo makini!! Watz wengi wamekalia kuponda tu bila kujali hali ya shirika letu ilivyokuwa, wanadhani mafanikio yanakuja overnight!!
Tujaribu hata kuona haya madogo kwanza, mambo mazuri yatakuja tu.
 
Kama ndio hiyo, basi mimi nitaendelea kupanda gari nikiwa na Safari ya Dar-Tabora
 
secondQ400_zpsrllvksir.jpg
icho kipepeo sipendi kukiangalia mimi, naona aibu kwa rwanda na kenya. hata zimbabwe tu. hatutakiwi kuongea kabisa, tutaongea baadaye tutakaponunua ndege kubwa. hapa tupite kimyakimya tu.
 
icho kipepeo sipendi kukiangalia mimi, naona aibu kwa rwanda na kenya. hata zimbabwe tu. hatutakiwi kuongea kabisa, tutaongea baadaye tutakaponunua ndege kubwa. hapa tupite kimyakimya tu.
We umezoea kupakatwa ufipa na wanene kwa hiyo lzm uone ni kipepeo
 
Baada ya miaka 50+ ya uhuru tunaleteana kapicha ka photoshop eti ndege inapaa!!!!

Japo wanasema paul kagame hataki kuachia madaraka lakini ameweka juhudi mpaka wametuacha sisi tukia na kipicha cha ndege!!! Ethiopia na kenya wote wametuacha ...sisi bado tupo na kipicha cha ndege inayopaa!!!

Hii ndege haina hata uwezo wa kwenda hapo kenya achilia mbali japan...usa...europe!!! Yanu ni ya mwanza...kilimanjaro dar...morogoro daaah!!
Naomba kuuliza...
Morogoro kuna Airport?
 
Back
Top Bottom