Katika Hotels nyingi kubwa kubwa sehemu mbali mbali Duniani, utakuta kwenye bafu, kuna mataulo matatu. Moja kwenye sink(spelling!) la kuogea, pili kwenye sink la kunawia/kupigia mswaki na tatu liko chini sakafuni. Acha yale mengine ya kwenye kabati ukutani.
Naomba shule. Hivi yale matatu yanatumikaje? Kuna Hotel moja kule Manila na pia pale Mumbai, waliniomba kuwa kama taulo siyo chafu tafadhali nisiweke chini. Hapo ndiyo nikavurwa, kwani tayari lingine nimelikuta chini na kila siku nikiingia nakuta liko chini.
Mawazo kwa anayejua?
Naomba shule. Hivi yale matatu yanatumikaje? Kuna Hotel moja kule Manila na pia pale Mumbai, waliniomba kuwa kama taulo siyo chafu tafadhali nisiweke chini. Hapo ndiyo nikavurwa, kwani tayari lingine nimelikuta chini na kila siku nikiingia nakuta liko chini.
Mawazo kwa anayejua?