kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,092
Guys, last week niliuza vipande UTT kiasi cha 300k taslimu, sasa hadi kufika kwenye akaunti yako ya benki inachukua siku 3 za kazi.
So, ikawa imefika leo chakushangaza hela imeingia leo hii, mida ya jioni nimeangalia kwenye akaunti yangu ya NMB nakuta ipo 289, 571 nimeshangaa hiyo elfu 10 na mia4 yote imeenda wapi?
Siku hizi kuna makato hadi ya kupokea hela NMB?
So, ikawa imefika leo chakushangaza hela imeingia leo hii, mida ya jioni nimeangalia kwenye akaunti yangu ya NMB nakuta ipo 289, 571 nimeshangaa hiyo elfu 10 na mia4 yote imeenda wapi?
Siku hizi kuna makato hadi ya kupokea hela NMB?